NA WINNIE ATIENO CHAMA cha Pamoja African Alliance, kinachohusishwa na Gavana wa Kilifi, Amason Kingi, kinapania kujiondoa kwenye...
NA WINNIE ATIENO KIONGOZI WA chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, anazidi kulaumiwa na wanasiasa Mombasa kwa kumruhusu aliyekuwa gavana...
NA BRIAN OCHARO JOPOKAZI la kutatua mizozo ya vyama vya kisiasa limesimamisha kwa muda uamuzi wa chama cha ODM kumteua Bi Zamzam Mohamed...
NA SAMMY WAWERU KAULI za kisiasa zilipigwa marufuku katika ibada ya kumuaga Rais mstaafu Mwai Kibaki, iliyofanyika katika uwanja wa...
NA PHILIP MUYANGA MMOJA wa walalamishi wawili waliotaka aliyekuwa gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, azuiwe kuwania ugavana Mombasa,...
NA CHARLES WASONGA HATIMAYE Mbunge wa Westlands Tim Wanyonyi ametangaza hadharani kuwa atamuunga mkono Polycarp Igathe ambaye wiki jana...
NA CHARLES WASONGA WABUNGE wa mirengo ya Azimio la Umoja na Kenya Kwanza walionyesha mfano mbaya kwa kugeuza kikao maalum cha...
ONYANGO K’ONYANGO na LEONARD ONYANGO WAWANIAJI wa urais wamejipata katika njiapanda baada ya kutekwa nyara na baadhi ya jamii...
NA DAVID MWERE RAIS Uhuru Kenyatta ndiye ataamua yule ambaye atapewa tiketi ya Jubilee kuwania ugavana wa Nyandarua. Wakati huu,...
NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga wanatumia jina la rais wa tatu wa Kenya, Mwai Kibaki...
NA CHARLES WASONGA SENETA wa Siaya James Orengo amewaonya wanasiasa na akawataka kukoma kujilazimisha katika kubuni miungano ya kisiasa...
NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Mvita Abdulswamad Nassir amedai kuwa kinara Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, alimshurutisha aliyekuwa gavana wa...