• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Wazee Waluhya wamkosoa Ruto kudharau Uhuru

NA BRIAN OJAMAA BARAZA la Wazee wa jamii ya Waluhya limemfokea Naibu Rais William Ruto kwa kumshambulia Rais Uhuru Kenyatta katika...

Wanawake wapata pigo kuwania viti vikuu vya kisiasa Pwani

LUCY MKANYIKA NA KALUME KAZUNGU MATUMAINI ya wanawake wengi kuwania ugavana Pwani katika uchaguzi ujao yameanza kudidimia, baadhi yao...

MAKALA MAALUM: Amekataa jinsia na ulemavu kuua ndoto yake ya udiwani

NA KENYA NEWS AGENCY AJALI inapotokea, maisha ya mtu huweza kubadilika kwa namna ambayo hakutarajia. Hayo ndiyo yaliyompata Mercy...

Duale sasa amkejeli Rais

NA GATUNI WACHIRA Mbunge wa Garissa mjini Aden Duale ameilaumu serikali ya Rais Uhuru Kenyatta kwa kile anachodai ni usaliti mkubwa ndani...

Ruto atoa onyo kwa asasi kuu za serikali

NA BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto jana Jumanne aliidhinishwa rasmi kuwa mgombeaji urais wa chama cha United Democratic Alliance...

Sossion aahidi kushirikiana na wafanyabiashara

NA KNA MBUNGE maalum ambaye pia ni mwaniaji wa kiti cha useneta Kaunti ya Bomet, Bw Wilson Sossion (pichani), ameingia katika maeleweno...

Lalama Wiper ikimlenga Mwazo kwa ugavana

NA LUCY MKANYIKA LALAMA zimeibuka katika Chama cha Wiper kuwa aliyekuwa seneta, Bw Dan Mwazo amepangiwa kupewa tikiti ya moja kwa moja...

Mshukiwa mkuu wa unyama Forest Road akamatwa

NA LEONARD ONYANGO MSHUKIWA mkuu wa kisa ambapo wahudumu wa bodaboda walimhangaisha na kumuibia kimabavu mwanamke raia wa kigeni katika...

Wajumbe 5,000 wa UDA kumwidhinisha Ruto leo

CHARLES WASONGA na MERCY SIMIYU ZAIDI ya wajumbe 5,000 wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) wanakongamana leo katika uwanja wa...

Uhuru achemka kwa kuhepwa ngome yake

NA MWANGI MURURI RAIS Uhuru Kenyatta ameripotiwa kukasirishwa na washauri wake kuhusu ripoti zao za hali ya kisiasa katika eneo la Mlima...

Mututho sasa amezea mate useneta kaunti ya Nakuru

NA ERIC MATARA ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabili Dawa za Kulevya (NACADA) John Mututho, sasa anamezea mate kiti cha...

Raila atua Uingereza kuosha tope la Ruto

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM na mgombea urais wa muungano wa Azimio La Umoja Raila Odinga, anazuru Uingereza katika ziara...