NA BRIAN OJAMAA BARAZA la Wazee wa jamii ya Waluhya limemfokea Naibu Rais William Ruto kwa kumshambulia Rais Uhuru Kenyatta katika...
LUCY MKANYIKA NA KALUME KAZUNGU MATUMAINI ya wanawake wengi kuwania ugavana Pwani katika uchaguzi ujao yameanza kudidimia, baadhi yao...
NA KENYA NEWS AGENCY AJALI inapotokea, maisha ya mtu huweza kubadilika kwa namna ambayo hakutarajia. Hayo ndiyo yaliyompata Mercy...
NA GATUNI WACHIRA Mbunge wa Garissa mjini Aden Duale ameilaumu serikali ya Rais Uhuru Kenyatta kwa kile anachodai ni usaliti mkubwa ndani...
NA BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto jana Jumanne aliidhinishwa rasmi kuwa mgombeaji urais wa chama cha United Democratic Alliance...
NA KNA MBUNGE maalum ambaye pia ni mwaniaji wa kiti cha useneta Kaunti ya Bomet, Bw Wilson Sossion (pichani), ameingia katika maeleweno...
NA LUCY MKANYIKA LALAMA zimeibuka katika Chama cha Wiper kuwa aliyekuwa seneta, Bw Dan Mwazo amepangiwa kupewa tikiti ya moja kwa moja...
NA LEONARD ONYANGO MSHUKIWA mkuu wa kisa ambapo wahudumu wa bodaboda walimhangaisha na kumuibia kimabavu mwanamke raia wa kigeni katika...
CHARLES WASONGA na MERCY SIMIYU ZAIDI ya wajumbe 5,000 wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) wanakongamana leo katika uwanja wa...
NA MWANGI MURURI RAIS Uhuru Kenyatta ameripotiwa kukasirishwa na washauri wake kuhusu ripoti zao za hali ya kisiasa katika eneo la Mlima...
NA ERIC MATARA ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabili Dawa za Kulevya (NACADA) John Mututho, sasa anamezea mate kiti cha...
NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM na mgombea urais wa muungano wa Azimio La Umoja Raila Odinga, anazuru Uingereza katika ziara...