Na CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa Kanu Nick Salat ametangaza kuwa chama Kanu kimeanza mazungumzo na vyama mbalimbali vya kisiasa...
Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME alishtakiwa Jumtano kwa kujitengenezea stakabadhi ya malipo ya mshahara (payslip) kuonyesha anapokea kitita...
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wote 47 wanaoshtakiwa kwa sakata ya mamilioni ya pesa katika Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa kampuni moja ya kutengeneza vyakula alishtakiwa Ijumaa kwa kuweka stempu ya shirika la ukadiriaji ubora...
Na RICHARD MUNGUTI RAIA watatu wa Uchina Ijumaa walisukumiwa kifungo cha kufanya kazi ya kufagia Mahakama baada ya kukiri walipatikana na...
Na RICHARD MUNGUTI MAWAKILI wa washukiwa 43 wa sakata ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) Jumanne walilalamika kuwa watazirai...
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji 15 kila upande ya Kenya almaarufu Simbas, itaondoka nchini Alhamisi alasiri kuelekea...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Oscar Ayodi na Dennis Ombachi wamerejea katika kikosi cha Shujaa kitakachoshiriki duru mbili za mwisho za Raga ya...
Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU mwandamizi Bi Martha Mutuku alimtaka kiongozi wa mashtaka Bw Solomon Naulikha atayarishe ushahidi wote katika...
Na RICHARD MUNGUTI WAKILI Cliff Ombeta alithibitisha Alhamisi kuwa Gavana Mike Sonko alimteua mwanaharakati na wakili Dkt Miguna Miguna...
Na RICHARD MUNGUTI JAJI Mkuu (CJ) David Maraga Jumatano aliwataka majaji na mahakimu wote wawe na maadili mema ndipo wananchi wawe na...
Na RICHARD MUNGUTI Rais wa Mahakama ya Rufaa Jaji William Ouko Jumanne aliwahimiza majaji watumie uhuru waliopewa katiba kwa manufaa ya...