• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:55 AM
Abdulswamad Nassir aibuka mshindi katika uchaguzi wa ugavana Mombasa

Abdulswamad Nassir aibuka mshindi katika uchaguzi wa ugavana Mombasa

NA FARHIYA HUSSEIN

MBUNGE wa Mvita anayeondoka Abdulswamad Nassir wa Orange Democratic Movement (ODM) ndiye mshindi wa kiti cha ugavana Mombasa baada ya kumlemea mpinzani wake mkuu Hassan Omar Sarai wa United Democratic Alliance (UDA).

Matokeo ya awali kabisa yameonyesha Nassir akiwa amezoa kura 119,083 dhidi ya 98,108 za Omar.

  • Tags

You can share this post!

Kwa nini natokwa jasho jingi nikilala?

JIJUE DADA: Jinsi ya kukabiliana na mafuta kiunoni

T L