Tag: Aisha Jumwa
- by T L
- July 22nd, 2022
Afueni kwa Jumwa kesi kuhusu digrii yake ikitupwa
NA BRIAN OCHARO MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, amepata afueni baada ya Mahakama Kuu ya Mombasa kutupilia mbali ombi lililokuwa...
- by T L
- July 2nd, 2022
Jumwa amsifia Ruto, asema ndiye suluhu ya uchumi wa nchi uliodorora
NA ALEX KALAMA MGOMBEA ugavana wa kaunti ya Kilifi kupitia chama cha UDA ambaye ni mbunge wa Malindi Aisha Jumwa amewataka wakazi wa...
- by T L
- January 30th, 2022
Mistari ya Raila yakosa kumnasa Aisha Jumwa
VALENTINE OBARA na MAUREEN ONGALA JUHUDI za wanasiasa wapinzani wa Naibu Rais William Ruto, kumvuta upande wao Mbunge wa Malindi, Bi...
- by T L
- January 26th, 2022
Jumwa aponyoka pingu kesi ya uuaji
NA BRIAN OCHARO MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, Jumanne aliponea chupuchupu agizo la kukamatwa kuhusiana na kesi ya mauaji...
- by T L
- December 4th, 2021
Jumwa na wengine 6 wataka kesi ya ufisadi dhidi yao isikilizwe upya
Na PHILIP MUYANGA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, na watu wengine sita wanaokabiliwa na mashtaka ya kushiriki ufisadi, sasa wanataka...
- by T L
- November 7th, 2021
Mwamko mpya wanawake Pwani wakilenga ugavana
Na PHILIP MUYANGA KUONGEZEKA kwa idadi ya wanawake katika kinyang’anyiro cha ugavana eneo la Pwani kunaonyesha mabadiliko makubwa ya...
Jumwa adai serikali ya Kingi haijali wakazi
ALEX KALAMA na VALENTINE OBARA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, ameisuta Serikali ya Kaunti ya Kilifi akidai kuwa haitilii maanani...
Kesi ya Jumwa yaahirishwa wakili Ombeta amalize kesi ya mauaji
Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA KUU imeagiza kesi ya ufisadi inayomkabili mbunge wa Malindi, Aisha Jumwa, iahirishwe hadi kesi nyingine...
Yaibuka Ruto aligawia Jumwa GSU wawili ilhali ana kesi
Na IBRAHIM ORUKO NAIBU Rais William Ruto, amesemekana alimpa Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, maafisa wawili wa polisi wenye taaluma...
Wakili ataka Jumwa amlipe Sh22.6m
Na PHILIP MUYANGA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, anatakiwa kulipa kampuni ya mawakili Sh22.6 milioni kwa kumwakilisha katika kesi ya...
Mawakili waliowakilisha Jumwa walia kuitiwa DCI
Na PHILIP MUYANGA MAWAKILI waliokuwa wakimwakilisha Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa katika kesi inayohusu madai ya ufisadi,...
Hakimu ashuku ipo njama kuchelewesha kesi ya ufisadi dhidi ya Jumwa
Na PHILIP MUYANGA MAHAKAMA ya kusikiliza kesi za ufisadi imelalamikia mienendo ya mawakili wa Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa na...