Bayern Munich wapigwa ligini kwa mara kwanza katika uwanja wa nyumbani baada ya mechi 30

Na MASHIRIKA EINTRACHT Frankfurt walipokeza Bayern Munich kichapo cha kwanza baada ya mechi 30 za kutoshindwa kwenye kampeni za Ligi Kuu...

Kocha Flick ahimiza Bayern Munich watumie mechi ya leo ya UEFA dhidi ya Lazio kama jukwaa la kujinyanyua

Na MASHIRIKA KOCHA wa Bayern Munich Hansi Flick amewataka masogora wake kuitandika Lazio leo Jumanne kwenye mechi ya Klabu Bingwa Ulaya...

Lewandowski acheka na nyavu mara tatu na kuvunja rekodi ya ufungaji wa mabao katika soka ya Ujerumani

Na MASHIRIKA FOWADI Robert Lewandowski aliendelea kuweka historia zaidi kwenye ulingo wa soka kwa kufunga mabao matatu kwenye ushindi wa...

Bayern Munich waingia fainali ya German Cup

Na CHRIS ADUNGO MABINGWA watetezi Bayern Munich walipiga Eintracht Frankfurt 2-1 na kufuzu kwa fainali ya German Cup ambayo kwa sasa...