Tag: iebc
- by T L
- February 23rd, 2022
Sabina Chege akwepa kikao na IEBC
Na WANDERI KAMAU MWAKILISHI wa Kike wa Kaunti ya Murang’a, Bi Sabina Chege, jana Jumanne alikosa kuhudhuria kikao ambapo alitarajiwa...
- by T L
- January 28th, 2022
Shirika latilia shaka maandalizi ya IEBC
WACHIRA MWANGI na FARHIYA HUSSEIN SHIRIKA moja la wanaharakati nchini limeelezea wasiwasi wake kuhusu maandalizi duni miongoni mwa...
- by T L
- December 15th, 2021
Chebukati atawaweza wanasiasa?
Na WANDERI KAMAU MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Bw Wafula Chebukati, anaendelea kuwakazia kamba wanasiasa, huku...
- by T L
- December 9th, 2021
TAHARIRI: IEBC ihakikishe wanasiasa wanaoshiriki harambee wanaadhibiwa
KITENGO cha UHARIRI KUANZIA leo, ni marufuku kwa wanasiasa wanaopania kuwania nyadhifa mbalimbali kushiriki katika hafla za kuchangisha...
- by T L
- December 9th, 2021
IEBC yaonya Raila, Ruto kuhusu kampeni
Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati, amesema kampeni za mapema zinazoendeshwa na Naibu...
- by T L
- December 4th, 2021
IEBC kufanya usajili tena Januari 2022
Na WALTER MENYA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) itaendesha awamu ya pili ya usajili wa wapigakura kwa wingi mnamo Januari 2022...
- by T L
- December 1st, 2021
Chebukati sasa akataa ‘kupangwa’
Na WANDERI KAMAU HATUA ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuepuka lawama za mapendeleo katika uchaguzi mkuu ujao kwa kujiondoa...
- by T L
- November 13th, 2021
WANDERI KAMAU: Wanasiasa wakome kudhalilisha IEBC hadharani, wanaweza kuzua ghasia
Na WANDERI KAMAU UCHAGUZI Mkuu wa 2022 unaponukia, macho yote sasa yanaelekezwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC). Kati ya...
- by T L
- November 10th, 2021
TAHARIRI: Viongozi wasisute ovyo tume ya IEBC
KITENGO CHA UHARIRI HUKU tarehe rasmi ya Uchaguzi Mkuu ikizidi kukaribia, baadhi ya wanasiasa wameanza kuzidisha mashambulizi dhidi ya...
- by T L
- October 28th, 2021
IEBC huru kuandaa uchaguzi- Korti
JOSEPH WANGUI na LEONARD ONYANGO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), sasa iko huru kuendelea na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa...
Idadi ndogo ya wanaojiandikisha wawe wapigakura yashuhudiwa kwenye vituo mbalimbali
Na SAMMYWAWERU SIKU mbili baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuzindua rasmi shughuli ya kuwasajili wapigakura wapya, idadi...
Wanasiasa wabuni njama IEBC ikisajili wapigakura wapya
Na WAANDISHI WETU IDADI ndogo ya wananchi walijitokeza Jumatatu katika kaunti za Pwani kwa usajili wa wapigakura wapya, huku baadhi ya...