Tag: Ken Walibora
Seneti yaondolea KNH lawama kuhusu kifo cha Walibora mauko yake yakisalia kitendawili
Na CHARLES WASONGA SIKU 10 baada ya familia, jamaa, marafiki na mashabiki wa mwandishi mashuhuri marehemu Ken Walibora kuadhimisha mwaka...
Kituo cha Walibora hatarini kufifia baada ya kifo chake
GERALD BWISA na ELVIS ONDIEKI KITUO cha kusambazia watoto vitabu kilichoanzishwa na msomi mashuhuri wa Kiswahili, marehemu Prof Ken...
Walibora akumbukwa kwa kongamano
ELVIS ONDIEKI na OSBORNE MANYENGO ZAIDI ya wapenzi 1,000 wa lugha ya Kiswahili leo saa 10 jioni wanaandaa kongamano kupitia mtandao,...
‘Tutakupeza Prof Ken Walibora’
Na Hosea Namachanja Mauti yangalikuwa binadamu, ningalijihimu na niyaulize ni kitita kipi cha hela yangalitaka lakini tatizo, mauti si...
KINA CHA FIKRA: Profesa Ken Walibora alikichapukia Kiswahili kwa kauli na matendo, Mola azidi kumrehemu
Na WALLAH BIN WALLAH LEO tumeumega mwaka mzima kasoro siku tatu tangu alipoaga dunia Profesa Ken Walibora mwandishi mahiri mtajika wa...
- by adminleo
- July 18th, 2020
Mjiandae kusoma ‘Siku Njema’ kwa lugha ya Kichina
Na CHARLES WASONGA RIWAYA ya 'Siku Njema' sasa itatafsiriwa kwa lugha ya Kichina kama ishara ya heshima kwa mwendazake Prof Ken...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Ken Walibora alivyowaathiri wanafunzi wa kigeni
Na YUNING SHEN NINAANDIKA barua hii kwa sababu tu ya kutoa shukrani kwa mwandishi marehemu kwa athari ya vitabu vyake na utu wake...
- by adminleo
- April 25th, 2020
Seneti kuchunguza kifo cha Walibora
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Seneti Jumatatu litaanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwandishi hodari na mwanahabari marehemu Profesa Ken...
- by adminleo
- April 23rd, 2020
Kwaheri Walibora, wengi tutakupeza
Na OSBORNE MANYENGO MWANDISHI mahiri na mwanahabari mbobevu, Prof Ken Walibora hatimaye alizikwa jana nyumbani kwao eneo la Bonde,...
- by adminleo
- April 22nd, 2020
Kwaheri Prof Walibora
Na CHRIS ADUNGO ULIMWENGU ni jukwaa la pekee kwetu sote kuigizia tamthilia inayoitwa ‘Maisha’ - mchezo ambao siku zote mwelekezi...
- by adminleo
- April 21st, 2020
Safiri salama mwalimu na mlezi wangu wa lugha – Wangu Kanuri
Na WANGU KANURI “Wema, utu, upole, ukarimu na utendakazi,” ndizo sifa zake marehemu Prof Ken Walibora. Waliotangamana naye kwa...
- by adminleo
- April 21st, 2020
Walibora alitabiri kifo chake
NA MARY WANGARI mwnyambura@ke.nationmedia.com Huku taifa na ulimwengu kwa jumla ukiwa umetikiswa na habari za kutisha kuhusu kifo cha...