Tag: SportPesa Shield
- by adminleo
- March 19th, 2019
15 wasonga mbele Shield Cup, Ulinzi na Sofapaka zang’olewa
Na GEOFFREY ANENE TIMU 15 zilijikatia tiketi ya kushiriki mechi za raundi ya 16-bora za kipute cha SportPesa Shield, ambacho mshindi...
- by adminleo
- March 16th, 2019
Kariobangi Sharks waanza vizuri safari ya kutetea taji la SportPesa Shield
Na GEOFFREY ANENE KARIOBANGI Sharks wameanza kutetea taji la soka ya SportPesa Shield kwa kishindo Jumamosi baada ya kupapura wenyeji...
- by adminleo
- March 8th, 2019
Droo ya SportPesa Shield yatangazwa
Na GEOFFREY ANENE DROO ya soka ya SportPesa Shield ambayo mechi zitasakatwa kutoka Machi 16 hadi Juni 1, imefanywa, huku mabingwa watetezi...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Gor wainyeshea Assad 5-1 kwenye SportPesa Shield
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA mara 10 wa Kombe la Rais, Gor Mahia walitinga raundi ya 32-bora ya kombe hili almaarufu sasa kama SportPesa...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Sh2 milioni kwa mshindi wa SportPesa Shield
Na GEOFFREY ANENE WADHAMINI wapya wa Kombe la Ngao (awali GOtv Shield), kampuni ya bahati nasibu ya SportPesa, wametangaza mgao wa tuzo wa...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Ratiba ya SportPesa Shield baada ya timu 5 kujiondoa
Na GEOFFREY ANENE KLABU za Mathare United, Chemelil Sugar, Zoo Kericho, Thika United na Nakumatt kutoka Ligi Kuu zimesusia mashindano ya...