Tag: tahariri
- by T L
- May 23rd, 2022
TAHARIRI: Afya ya uzazi kuhusu fistula itengewe pesa na mikakati
NA MHARIRI JUMATATU ya leo ina umuhimu mkubwa kwa Kenya. Ni siku ambapo Rais Uhuru Kenyatta anahudhuria mkutano wa 75 wa Baraza la...
- by T L
- May 21st, 2022
TAHARIRI: Kongole kwa mashujaa wetu waliofana Brazil
NA MHARIRI TUNAWAPA pongezi tele mabingwa wa Olimpiki ya Viziwi mwaka huu ambao walirejea nyumbani mnamo Alhamisi kutoka jijini Caxias...
- by T L
- May 19th, 2022
TAHARIRI: Idara nyingine za serikali ziipe umuhimu lugha ya Kiswahili
NA MHARIRI UZINDUZI wa Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa lugha ya Kiswahili ni hatua nzuri inayofaa kupongezwa. Afisi...
- by T L
- May 17th, 2022
TAHARIRI: Wazazi wakomeshwe kupeleka watoto kwa mikutano ya kisiasa
NA MHARIRI WAKATI kampeni za siasa za chaguzi kuu zinapoanza humu nchini, huwa mambo mengi yanatiliwa maanani kwa minajili ya kudumisha...
- by T L
- May 15th, 2022
TAHARIRI: Wanafunzi wenye uhitaji wa kweli wa karo wasaidiwe
NA MHARIRI UKARIMU wa Wakenya mara nyingi huonekana wakati wanafunzi wenye uhitaji wa karo ya shule hutakikana ili kufanikisha masomo...
- by T L
- May 13th, 2022
TAHARIRI: Ufafanuzi zaidi kuhusu Gredi ya 7 wahitajika
NA MHARIRI HATA ingawa serikali imetoa ufafanuzi wa kina kuhusu jinsi wanafunzi wa Gredi ya 6 chini ya mfumo mpya wa elimu (CBC),...
- by T L
- May 12th, 2022
TAHARIRI: Sheria ya jinsia yafaa iangiliwe upya upesi
NA MHARIRI JANA Jumatano mahakama iliipiga breki tume ya uchaguzi (IEBC) kuhusu agizo lake kuwa sharti vyama vya kisiasa vidumishe...
- by T L
- May 11th, 2022
TAHARIRI: Uadilifu ndiyo chanjo ya siasa chafu za Kenya
NA MHARIRI SIASA katika yaliyoendelea hasa Ulaya huongozwa na sera madhubuti. Siasa za namna hii zimechangia kuimarisha na kupevusha...
- by T L
- May 10th, 2022
TAHARIRI: Raia atazidi kuumia bila ukomavu wa kisiasa
NA MHARIRI MATUKIO ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa nchini yanazidi kuthibitisha kuwa, raia bado hatiliwi maanani sana katika...
- by T L
- May 9th, 2022
TAHARIRI: Usimamizi wa basari sharti urekebishwe
NA MHARIRI KUUNGAMA kwa Waziri wa Elimu Profesa George Magoha kwamba hazina za basari zinazosimamiwa na wanasiasa zimekolewa na ufisadi...
- by T L
- May 7th, 2022
TAHARIRI: Mashindano ya Kip Keino ni faida kuu kwa taifa letu
NA MHARIRI RIADHA ni mojawapo ya njia ambazo zimepata kuundia Kenya sifa kimataifa kando na kuukuza uchumi wake. Nchi hii itakuwa na...
- by T L
- May 4th, 2022
TAHARIRI: Wanafunzi wasinyimwe masomo kwa sababu ya karo
NA MHARIRI KUANZIA leo, wazazi watakuwa wakipeleka watoto wao waliofanya mtihani wa Darasa la Nane kujiunga na kidato cha kwanza katika...