Tag: timbo
- by adminleo
- June 27th, 2020
Afariki baada ya kukosa hewa timboni
NA LUCY MKANYIKA Mtu mmoja amefariki na mwingine kulazwa hospitalini baada ya kuzimia kwa kukosa hewa ya kupumua katika timbo moja eneo...
- by adminleo
- September 15th, 2019
Kijiji kinachozama kutokana na matimbo
RICHARD MAOSI NA KEVIN ROTICH Wakazi wa kijiji cha Kimolwet eneo la Barut, Kaunti ya Nakuru, wametoroka makwao, baada ya wachimba migodi...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Wachimba mawe walia kuteswa
Na LAWRENCE ONGARO WAFANYAKAZI 37 katika matimbo ya mawe eneo la Juja, Kiambu wanalalamika kudhulumiwa na mwajiri wao. Wafanyakazi...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Wakazi waandamana wakitaka kampuni ya mawe ifungwe
Na MAGDALENE WANJA Wakazi wa Kagoto eneo la Bahati katika kaunti ya Nakuru hapo waliandamana wikendi na kutaka kufungwa kwa kampuni moja...
- by adminleo
- December 12th, 2018
Huzuni 3 wakifariki baada ya kufunikwa na mawe timboni
ALEX NJERU na ISABEL GITHAE WATU watatu waliaga dunia na mmoja kujeruhiwa vibaya, baada ya timbo walimokuwa wakichimba mawe kuboromoka...