• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM
UTAFITI: 87% ya wanawake wazungu hufurahia ngono na wanaume weusi

UTAFITI: 87% ya wanawake wazungu hufurahia ngono na wanaume weusi

MASHIRIKA na PETER MBURU

UTAFITI uliofanywa na chuo kikuu kimoja cha Marekani umebaini kuwa takriban asilimia 87 ya wanawake weupe kutoka Marekani wamewahi kuwa na uhusiano wa kingono ama kutamani kuwa nao na wanaume wa Kiafrika.

Utafiti ulisema kuwa asilimia 87 ya wanawake weupe hutamani kufanya ngono na mwanaume mweusi, na wakati huo wengi wao tayari wametimiza ndoto hiyo.

Vilevile, matokeo yake yalionyesha kuwa asilimia 13 ya wanawake weupe huko US walisema kuwa wanaweza kuolewa na kuanza familia na mwanaume mweusi.

Utafiti huo ulifanywa na idara ya Sexual Sociological Endowment in the Cultural Histology katika chuo kikuu cha Rutgers. Kati ya watu 800 waliohojiwa, asilimia nane walikiri kuwa wanatamani kushiriki ngono ya watu watatu na wanaume weusi.

Lakini kauli kuwa tofauti kati ya wanawake weupe wanaotamani kushiriki mapenzi na wanaume weusi na wale walio tayari kuolewa nao imeashiria kuwa bado dhuluma za rangi zinaadhiri ushirikiano wa watu US na mataifa mengine ya Uzunguni.

Wanaume weusi wanaonekana kuwa na umahiri wa hali ya juu katika masuala ya kitandani, lakini kwa upande mwingine wakikosekana katika kazi kubwa kubwa ambapo kuna pesa.

Kutokana na hali hiyo, wanawake wengi weupe wanapendelea kushiriki ngono na wanaume weusi lakini kuwaendea wanaume weupe wanapotaka kukidhiwa mahitaji ya kifedha.

You can share this post!

Mafuta ya kuimarisha urembo yamfurisha uso

Apatwa na hatia ya kumdunga mpenzi visu 16 kwa kunyimwa...

adminleo