• Nairobi
  • Last Updated March 18th, 2024 8:55 PM

Ramadhani: Wachuuzi wa vyakula wakwepa hasara mbunge wa zamani akivinunua

NA CHARLES ONGADI  KUFUATIA hali ngumu ya maisha wafanyabiashara wa mapato ya chini na ya kadri hususan mashinani wamekuwa wakipitia...

Polisi wakataa kuzungumzia mauaji ya mlanguzi wa dawa

NA BRIAN OCHARO MLANGUZI wa mihadarati Yusuf Ahmed Swaleh, almaarufu Candy Rain, amekufa katika hali ya kutatanisha huku wakuu wa polisi...

Mbinu anazotumia Raila kushinda uenyekiti AUC

NA JUSTUS OCHIENG WAZIRI Mkuu wa zamani Raila Odinga ameanza mchakato wa kuandaa mbinu ya kushinda wadhifa wa mwenyekiti wa Tume ya Umoja...

Tanzia mamake Askofu JJ Gitahi akiaga

NA WANDERI KAMAU MAMAKE mhubiri maarufu katika eneo la Mlima Kenya, Askofu JJ Gitahi, Bi Dorcas Gitahi, ameaga dunia. Bi Gitahi...

Msako wa lori lililoangamiza ‘Tiktoka’ Brian Chira

NA WANDERI KAMAU POLISI wameanza msako dhidi ya lori ndogo linalodaiwa kumgonga na kumuua ‘Tiktoka’ maarufu Brian Chira mnamo...

Watano wazuiliwa kuhusiana na mauaji ya askari gereza

NA ERIC MATARA POLISI katika eneo la Kilgoris, Kaunti ya Narok wanaendelea kuzuilia washukiwa watano kuhusiana na mauaji ya askari...

Wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Nzoia kulipwa malimbikizo ya mshahara  

NA JESSE CHENGE  SPIKA wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetang'ula, amewahakikishia wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Nzoia kilichoko...

LSK yaonya kuhusu hatari ya kusafiria gari lisilo na bima

NA MWANGI MUIRURI  RAIS wa Muungano wa Wanasheria katika Kaunti ya Murang'a Bw Alex Ndegwa ameonya wenyeji dhidi ya kukodisha magari...

Tanzia: ‘Tiktoker’ maarufu Brian Chira aaga dunia kufuatia ajali

NA WANDERI KAMAU MSANII Brian Chira, mtumiaji maarufu wa mtandao wa Tiktok kufikisha ujumbe kwa mashabiki wake, ameaga dunia. Kulingana...

Kasisi anayedaiwa kunajisi msichana tineja arejeshwa rumande

NA LAWRENCE ONGARO KASISI James Kimani Kairu aliyekamatwa akidaiwa kumnajisi mtoto yatima, amerejeshwa rumande dhamana yake ya Sh30,000...

Seneti yapitisha mswada wa Wakenya kuendelea kulipa ushuru wa nyumba

COLLINS OMULO Na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amepata ushindi katika mpango wa serikali yake kuendelea kuwatoza Wakenya ushuru wa...

Pombe: Shughuli zasimama sokoni Muthurwa washukiwa wakikamatwa

NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA 56 wamekamatwa wakati wa msako dhidi ya pombe haramu uliofanyika Muthurwa katika Kaunti ya...