• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

Mjane aliyefurushwa kufuatia mzozo na wake wenza arejea kwa nyumba yake

NA SAMMY KIMATU MAMA mmoja mjane ambaye amekuwa akihangaika kwa miezi minane katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Fuata Nyayo kwa kufungiwa...

Agizo mjukuu wa Moi akamatwe kwa kukwepa vikao

NA JOSEPH OPENDA MAHAKAMA ya Nakuru imetoa kibali cha kukamatwa kwa mjukuu wa aliyekuwa Rais wa pili wa Kenya, Mzee Daniel Toroitich arap...

Vituko na vurumai katika mazishi ya Brian Chira

NA ELIZABETH NGIGI MWIGIZAJI wa TikTok Brian Chira alizikwa Jumanne katika kjiji cha Gitei, Gathanje, Kaunti ya Kiambu katika mazishi...

Mwanamume anayedaiwa kumuua bintiye akamatwa

NA SHABAN MAKOKHA MAAFISA wa polisi katika eneo la Navakholo, Kaunti ya Kakamega, wamemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 32 anayedaiwa...

Chaguo la mambo matatu la Rais laleta afueni sekta ya miwa ikiimarika  

NA BRIAN AMBANI KIWANGO cha sukari inayoagiziwa nchini kimepungua kufuatia kuimarika kwa uzalishaji nchini, huku viwanda vikirejelea...

Kesi yako ilikuwa stori za ‘jaba’, korti yaambia Ann Njeri wa mafuta ya 17b

NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA imetupilia mbali kesi ambapo mfanyabiashara Ann Njeri Njoroge alidai umiliki wa tani 100, 000 za dizeli yenye...

Afisa katika kesi ya ulaghai wa shamba la mabilioni ‘augua’

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Naibu Mkuu wa Mkoa wa Nairobi, Davis Nathan Chelogoi amepelekwa kupokea matibabu Nairobi Hospital kutoka...

Himizo watu watumie nguvu za umeme kufanya mapishi

NA SIAGO CECE KWA muda mrefu, Wakenya wengi wamekuwa wakitumia kuni, makaa na gesi kupikia huku, wachache wakitumia vifaa vya...

Askofu asihi Rais kuingilia kati kusuluhisha mgomo wa madaktari

NA BRIAN OCHARO ASKOFU Mkuu wa Dayosisi ya Mombasa Kanisa la Katoliki Martin Kivuva ameitaka serikali kufanya mazungumzo na madaktari...

Nogesha ngoma chumbani, mchepuko si suluhu

NA MWANDISHI WETU BAADHI ya watu wanalia kwamba ndoa zao zimekosa raha kwa kuwa wake au waume wao wamezembea chumbani. Wanalalamika...

Wanasiasa waonywa dhidi ya kuzua ghasia mazishini

NA SHABAN MAKOKHA WANASIASA kutoka eneo la Magharibi mwa Kenya, wameonywa dhidi ya kuzua ghasia katika hafla za mazishi na kunyima...

Polisi wachunguza ajali iliyoua watu wanne

NA GEORGE MUNENE POLISI wanachunguza kilichosababisha ajali iliyoua watu wanne kwenye barabara ya Gatuto- Baricho, Kaunti ya...