• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Simba Arati sasa amtetea Dkt Monda

NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kisii Simba Arati amewarai madiwani kutathmini upya hoja inayolenga kumng’atua afisini naibu wake Dkt...

Raila amepenya serikalini?

NA WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu ikiwa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, hatimaye ameingia serikalini, baada ya...

Vyama vya UDA na ODM vyang’ang’ania wanachama

NA LUCY MKANYIKA JOTO la kisiasa katika Kaunti ya Taita Taveta linazidi kuchemka, huku vyama vya UDA na ODM vikizidi kuvutia wanachama...

Hongo yatajwa sababu ya madiwani kumwinda Dkt Monda

NA WYCLIFFE NYABERI MADIWANI wanaotaka Naibu Gavana wa Kisii Robert Monda ang'atuliwe afisini wametoa sababu tatu zinazotetea Mswada...

Uhuru, Gachagua wacheza ‘paka na panya’

WANDERI KAMAU Na JAMES MURIMI RAIS Mstaafu Uhuru Kenyatta na Naibu Rais Rigathi Gachagua, Jumamosi, walicheza mchezo wa paka na panya, kwa...

Gachagua atambua ‘Uhuru ni mtoto wetu’

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua amenyoosha mkono wa maridhiano kwa Rais Mstaafu Uhuru Kenyattta akisema hana kinyongo...

Dalili Raila anastaafu kutoka ulingo wa siasa

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, sasa ameanza kuonyesha dalili za kujiondoa kwenye ulingo wa siasa...

Ruto ajionea ukaidi dhidi ya Gachagua ziarani Mlima Kenya

NA MWANGI MUIRURI BAADHI ya wanasiasa wa Mlima Kenya wamejitokeza waziwazi kukaidi juhudi za Naibu Rais Rigathi Gachagua za...

Kalonzo aamua ‘hakuna kusubiri kipenga mbio za Ikulu’

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka, anaonekana kuanza ‘kujipanga’ mapema kwa kinyang’anyiro cha urais 2027,...

Notisi yadunda kutaka kumng’atua naibu gavana Kisii

NA WYCLIFFE NYABERI  BAADHI ya madiwani katika Bunge la Kaunti ya Kisii wametoa notisi ya mswada unaolenga kumng'atua mamlakani Naibu...

Sina tatizo kumuunga mkono Kalonzo kuwania urais 2027 – Raila

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, amesema kuwa hana tatizo lolote kumuunga mkono kiongozi wa Wiper...

Sitawaacha mayatima kisiasa, Gachagua asema ngomeni

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amewaahidi wenyeji na wakazi wa Mlima Kenya kwamba hatawaacha wakiwa ‘pweke kisiasa’,...