• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 AM

DONDOO: Mganga afunga kazi kwa kukosa wateja

KIBUKE, MAYANJA NA DENNIS SINYO MGANGA aliyekita kambi hapa alifunganya virago na kuondoka baada ya kukosa wateja kwa mwezi mzima. Duru...

Pasta aweka Biblia kando na kumlima polo aliyemtorosha mkewe

NA CORNELIUS MUTISYA MACHAKOS MJINI KISANGA kilishuhudiwa mjini hapa, pasta mmoja alipoweka Biblia chini na kumtwanga jamaa...

Jombi ashindwa kula siku tatu baada ya kugundua aliyepanga kuoa ni mke wa mtu

Na JANET KAVUNGA LIKONI, MOMBASA JOMBI mmoja wa hapa alivunjika moyo hadi akashindwa kula kwa siku tatu baada ya kugundua kwamba...

DONDOO: Bodaboda ashtua demu kufika kwake alfajiri na kumtaka amfungulie

NA NICHOLAS CHERUIYOT Mrembo wa hapa, aliudhika mwanabodaboda alipofika kwake saa kumi na moja ya asubuhi ilhali alikuwa amemtaka...

DONDOO: Jombi achanganywa na demu mgeni plotini aliyemwomba mwiko

NA NICHOLAS CHERUIYOT KAPERA mmoja alipandwa na mzuka kipusa aliyehamia ploti anakoishi juzi, alipomuomba mwiko asonge sembe. Duru...

Kwayamasta nusura aharibu ndoa yake ‘mpango’ alipoamua kumwanika baada ya kumtema

Na JANET KAVUNGA MOMBASA MJINI UHUSIANO wa pembe za chaki wa mwanadada na kiongozi wa kwaya ya kanisa lao ulifichuka jamaa alipomtema...

Afanyiwa kiini macho akapapasa nyani akidhani ni kimada wake

NA JANET KAVUNGA SOKOKE, KILIFI JAMAA aliyekuwa akinyemelea mke wa mtu alijipata pabaya alipofanyiwa kiini macho na mume wa mwanadada...

Wapangaji wajionea sinema ya bure landilodi akidaiwa na kibiritingoma plotini

NA JOHN MUSYOKI EMBU MJINI WAPANGAJI wa ploti moja mjini hapa, walipigwa na butwaa machangudoa watatu walipojitoma chumbani kwa...

Demu aanika siri za ndoa yake, rafiki yake apindua ajenda kwa kukwachua mume

NA JANET KAVUNGA SHANZU, MOMBASA MWANADADA wa hapa anajuta kuanika siri za ndoa yake kwa rafiki yake ambaye alizitumia kupindua...

Pasta ‘fisi’ alia akilaumu muumini kwa kumpokonya demu

NA JOHN MUSYOKI IMENTI, MERU PASTA barobaro wa hapa alimlaumu muumini wa kanisa alilokuwa akishiriki kwa kumharibia mpango wa kuoa demu...

Pasta amuumbua mkewe hadharani, waumini wabaki na alama ya mshangao!

NA JANET KAVUNGA RABAI, KILIFI WAUMINI wa kanisa moja hapa walibaki vinywa wazi pasta wao alipomkemea mkewe mbele yao. Pasta huyo...

Sitaki kusikia habari zenu, demu aambia mapolo ‘stingy’

NA JANET KAVUNGA MOMBASA MJINI MWANADADA wa hapa, aliwakemea wanaume wawili waliokuwa wakimmezea mate akiwalaumu kwa kuwa mkono...