Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Mtoto ana tabia ya kulialia, wanasema nimemdekeza

Na SHANGAZI December 20th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Mwanangu wa kiume analia sana. Wanasema namlea vibaya. Kuna ukweeli hapo?

Jibu: Kulia si udhaifu. Unamlea binadamu, si jiwe. Mfundishe kudhibiti hisia, si kuzificha.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO