• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 3:25 PM

Ruto kukabiliwa na mtihani mkali 2022 akiepuka miungano

Na WANDERI KAMAU HATUA ya Naibu Rais William Ruto kusema kwamba hatajiunga na muungano ya kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2022,...

Chama kipya Pwani kinavyotishia Ruto na Raila

Na MAUREEN ONGALA MIPANGO ya kuzindua chama kipya Pwani kabla uchaguzi ujao ufike, imeshika kasi na kutishia kugeuza mawimbi ya kisiasa...

Kuzimwa kwa BBI kulivyovuruga siasa za urithi 2022

Na BENSON MATHEKA Kuzimwa kwa mchakato wa kubadilisha katiba kupitia Mpango wa Maridhiano (BBI), kumevuruga mipango ya wanasiasa...

Vigogo wa kisiasa kutafuta mbinu mpya kusuka miungano bila BBI

Na CECIL ODONGO WANASIASA wakuu nchini sasa watalazimika kurejea mezani na kubuni mikakati mipya ya kutwaa urais mwaka ujao baada ya...

CHARLES WASONGA: Darubini kwa Chebukati uchaguzi wa 2022 ukinukia

Na CHARLES WASONGA HUKU ikiwa imesalia miezi 11 kabla ya Wakenya kuelekea debeni kuwachagua viongozi wapya, macho yote yanaelekezwa kwa...

BENSON MATHEKA: Viongozi waungane, ndio, lakini wasigawanye raia

Na BENSON MATHEKA Ikiwa umesalia mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu ambao Wakenya watachagua rais wa tano, wanasiasa wako mbioni...

CECIL ODONGO: Kuna dalili uchaguzi wa 2022 huenda urudiwe

Na CECIL ODONGO HUENDA ikawa vigumu kuepuka duru ya pili katika uchaguzi mkuu wa 2022 huenda ikawa vigumu kuepukika, ikizingatiwa kuwa...

Nitawapa mashine za kisasa kuchapa kazi nikiingia Ikulu 2022, Raila aahidi vijana

Na SAMMY WAWERU DALILI kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga kuwa debeni 2022 kuwania urais zinaendelea kudhihirika. Awali, Bw Raila...

Kibarua cha IEBC kuandaa duru ya pili ya uchaguzi 2022

Na WANDERI KAMAU KENYA inakabiliwa na kibarua cha maandalizi ya duru ya pili ya uchaguzi wa urais, ikiwa itajipata hapo kwenye uchaguzi...

Vigogo wanavyoviziana kuwania ubabe 2022

Na BENSON MATHEKA Vigogo wa kisiasa wanaomezea mate urais wanaendelea kuviziana kila moja akisubiri kuona hatua ambayo mwenzake...

LEONARD ONYANGO: Wapigakura wajifunze kutoka ahadi feki 2017

Na LEONARD ONYANGO MSIMU wa wanasiasa kumwaga ahadi hewa umeanza. Kila mwanasiasa anajifanya kuwa ‘mwokozi’ wa Wakenya...

Sihitaji kuungwa mkono na Uhuru kuingia Ikulu – Raila

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga kwa mara ya kwanza ametangaza waziwazi kuwa hahitaji uungwaji mkono kutoka kwa Rais...