• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Ulinzi mkali mmoja akinaswa akiwa na bastola, risasi 500 eneo Biden ataapishwa kuwa Rais

Na AFP MWANAMUME aliyejihami kwa bastola na risasi zaidi ya 500 alikamatwa jijini Washington katika kituo cha ukaguzi wa kiusalama...

DOUGLAS MUTUA: Waandamanaji wa Amerika na wa Kenya ni tofauti

Na DOUGLAS MUTUA SASA, ukizingatia yaliyojiri Marekani yapata wiki moja unusu iliyopita, umejua kwamba ghasia za baada ya uchaguzi si...

Amerika mbioni kumtimua Trump

Na MASHIRIKA WABUNGE wanatarajiwa kupiga kura leo usiku kupitisha hoja ya kuidhinisha Makamu wa Rais Mike Pence kumtimua Rais Donald...

MAUYA O’MAUYA: Demokrasia ni kama rinda, kila taifa huvaa linaloifaa

Na MAUYA O'MAUYA Ukiona vyaelea vimeundwa. Ndivyo ilivyo kwa nchi ya Amerika katika masuala ya utawala wa Kidemokrasia tangu...

Maandamano Amerika Trump akipinga matokeo ya kura

Na MASHIRIKA WASHINGTON D.C., Amerika MAANDAMANO Alhamisi yalitanda katika maeneo mbalimbali ya Amerika, baada ya Rais Donald Trump...

Hofu ya ghasia Amerika

Na BENSON MATHEKA HOFU ya mapigano kutokea Amerika baada ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne imekumba raia wengi wa nchi hiyo huku...

Amerika yaamua

Na DOUGLAS MUTUA akiwa Washington DC, AMERIKA RAIA wa Amerika wamepanga foleni ndefu leo Jumanne kuchagua ni nani atakayekuwa Rais wao...

Wabunge kutoka Kenya ni miongoni mwa waangalizi wa uchaguzi wa urais Amerika

Na CHARLES WASONGA WABUNGE watatu na seneta mmoja kutoka Kenya wataungana na waangalizi kutoka mataifa mengine ya kigeni kufuatilia...

Obama aungana na Biden katika kampeni kushawishi wapigakura

Na MASHIRIKA WASHINGTON DC, Amerika ALIYEKUWA Rais wa Amerika, Barack Obama alijiunga na mgombeaji wa chama cha Democratic Joseph...

MUTUA: Iwe ni Trump au Biden, watakusaidia nini vile?

Na DOUGLAS MUTUA NIMEWAONA Wakenya na kiherehere chao wakimtakia ushindi Rais Donald Trump wa Marekani katika uchaguzi utakaofanyika...

MUTUA: Itakuwa kibarua kudhibiti Trump na Biden mijadalani

Na DOUGLAS MUTUA NIMETAFAKARI kuhusu mojawapo ya mbinu ambazo zinapendekezwa ili kumdhibiti Rais Donald Trump wa Marekani wakati wa...

Watu wasiojulikana watuma barua yenye sumu kwa Trump

Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika MAAFISA wa usalama wamenasa kifurushi kilichotumwa kwa kiongozi wa Amerika Rais Donald...