Tag: AMERIKA
Ulinzi mkali mmoja akinaswa akiwa na bastola, risasi 500 eneo Biden ataapishwa kuwa Rais
Na AFP MWANAMUME aliyejihami kwa bastola na risasi zaidi ya 500 alikamatwa jijini Washington katika kituo cha ukaguzi wa kiusalama...
DOUGLAS MUTUA: Waandamanaji wa Amerika na wa Kenya ni tofauti
Na DOUGLAS MUTUA SASA, ukizingatia yaliyojiri Marekani yapata wiki moja unusu iliyopita, umejua kwamba ghasia za baada ya uchaguzi si...
Amerika mbioni kumtimua Trump
Na MASHIRIKA WABUNGE wanatarajiwa kupiga kura leo usiku kupitisha hoja ya kuidhinisha Makamu wa Rais Mike Pence kumtimua Rais Donald...
MAUYA O’MAUYA: Demokrasia ni kama rinda, kila taifa huvaa linaloifaa
Na MAUYA O'MAUYA Ukiona vyaelea vimeundwa. Ndivyo ilivyo kwa nchi ya Amerika katika masuala ya utawala wa Kidemokrasia tangu...
Maandamano Amerika Trump akipinga matokeo ya kura
Na MASHIRIKA WASHINGTON D.C., Amerika MAANDAMANO Alhamisi yalitanda katika maeneo mbalimbali ya Amerika, baada ya Rais Donald Trump...
Hofu ya ghasia Amerika
Na BENSON MATHEKA HOFU ya mapigano kutokea Amerika baada ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne imekumba raia wengi wa nchi hiyo huku...
Amerika yaamua
Na DOUGLAS MUTUA akiwa Washington DC, AMERIKA RAIA wa Amerika wamepanga foleni ndefu leo Jumanne kuchagua ni nani atakayekuwa Rais wao...
Wabunge kutoka Kenya ni miongoni mwa waangalizi wa uchaguzi wa urais Amerika
Na CHARLES WASONGA WABUNGE watatu na seneta mmoja kutoka Kenya wataungana na waangalizi kutoka mataifa mengine ya kigeni kufuatilia...
Obama aungana na Biden katika kampeni kushawishi wapigakura
Na MASHIRIKA WASHINGTON DC, Amerika ALIYEKUWA Rais wa Amerika, Barack Obama alijiunga na mgombeaji wa chama cha Democratic Joseph...
MUTUA: Iwe ni Trump au Biden, watakusaidia nini vile?
Na DOUGLAS MUTUA NIMEWAONA Wakenya na kiherehere chao wakimtakia ushindi Rais Donald Trump wa Marekani katika uchaguzi utakaofanyika...
MUTUA: Itakuwa kibarua kudhibiti Trump na Biden mijadalani
Na DOUGLAS MUTUA NIMETAFAKARI kuhusu mojawapo ya mbinu ambazo zinapendekezwa ili kumdhibiti Rais Donald Trump wa Marekani wakati wa...
Watu wasiojulikana watuma barua yenye sumu kwa Trump
Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika MAAFISA wa usalama wamenasa kifurushi kilichotumwa kwa kiongozi wa Amerika Rais Donald...