Tag: bangi
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Mfanyakazi mochari aambia mahakama marehemu Mwingereza hakuwa na msokoto wa bangi
Na MISHI GONGO na BRIAN OCHARO MFANYAKAZI katika chumba cha kuhifadhi maiti cha hospitali binafsi ya Pandya ambako mwili wa raia wa...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Mariga ataka bangi ihalalishwe
LEONARD ONYANGO na ANITA CHEPKOECH MGOMBEAJI ubunge katika uchaguzi mdogo wa Kibra kwa tiketi ya Chama cha Jubilee, Bw McDonald Mariga...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Wazee mnaovuta bangi mnachangia vijana kupotoka – kamishna
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya wazee kuwa kielelezo kwa vijana ili waweze kuiga mfano wao. Hayo yalitajwa na Naibu Kamishna wa Thika...
- by adminleo
- August 7th, 2019
Thailand kutumia bangi kutibu kansa
NA MASHIRIKA BANGKOK, Thailand WIZARA ya Afya Jumatatno ilipokea shehena ya kwanza ya mafuta ya bangi yatakayotumiwa katika matibabu...
- by adminleo
- July 12th, 2019
Ajuza, 83 akiri kuwa na misokoto ya bangi
Na REGINAH KIBOGU na VICTOR RABALLA AJUZA mwenye umri wa miaka 83 akiwa katika mahakama ya Nyeri alikiri Alhamisi mashtaka ya kupatikana...
- by adminleo
- June 6th, 2019
MARAGUA: Eneo ambako polisi hushirikiana na genge kuuza bangi
Na MWANGI MUIRURI MWEZI Mei kulizuka kisa cha kushtusha kiusalama katika mji wa Maragua ambao uko katika Kaunti ya Murang’a ambapo...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Bangi aliyovuta Bob Marley ni safi kuliko ya sasa – Msomi
Na MASHIRIKA MTAFITI hatimaye amegundua bangi ya asili iliyokuwa ikivutwa na mwanamuziki nguli wa reggae Bob Marley kati ya miaka ya...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Polisi wanasa bangi yenye thamani ya kiasi cha Sh5 milioni eneo la Kiandutu
Na LAWRENCE ONGARO POLISI wa Thika wamenasa bangi kiasi cha magunia kumi yenye thamani kubwa katika nyumba moja katika kijiji cha...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Kuvuta bangi yenye sumu ya chura hunituliza nisifanye unyama – Mike Tyson
Na PETER MBURU ALIYEKUWA mwanabondia maarufu duniani Mike Tyson ametoboa kuwa kuvuta bangi iliyo na sumu ya chura ndiko kumekuwa...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Bangi iliyosafirishwa kwa lori la mafuta yanaswa
Na PETER MBURU POLISI Kaunti ya Nakuru Jumatatu walinasa bangi ya dhamana ya Sh3.6 milioni, ambayo ilikuwa ikisafirishwa katika lori la...
- by adminleo
- March 24th, 2019
Aliyebeba bangi apata ajali, anaswa na polisi
MACHARIA MWANGI na BENSON MATHEKA Dereva aliyekuwa akisafirisha bangi alinusurika ajali ya barabarani lakiini akajipata katika mikono...
- by adminleo
- March 20th, 2019
Wendawazimu wamejaa hospitalini kutokana na uvutaji bangi – Daktari
Na NDUNGU GACHANE MTAALAMU wa kutibu maradhi ya kiakili amesema matumizi ya bangi miongoni mwa vijana ndicho kichocheo kikubwa cha...