• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Mfanyakazi mochari aambia mahakama marehemu Mwingereza hakuwa na msokoto wa bangi

Na MISHI GONGO na BRIAN OCHARO MFANYAKAZI katika chumba cha kuhifadhi maiti cha hospitali binafsi ya Pandya ambako mwili wa raia wa...

Mariga ataka bangi ihalalishwe

LEONARD ONYANGO na ANITA CHEPKOECH MGOMBEAJI ubunge katika uchaguzi mdogo wa Kibra kwa tiketi ya Chama cha Jubilee, Bw McDonald Mariga...

Wazee mnaovuta bangi mnachangia vijana kupotoka – kamishna

Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya wazee kuwa kielelezo kwa vijana ili waweze kuiga mfano wao. Hayo yalitajwa na Naibu Kamishna wa Thika...

Thailand kutumia bangi kutibu kansa

NA MASHIRIKA BANGKOK, Thailand WIZARA ya Afya Jumatatno ilipokea shehena ya kwanza ya mafuta ya bangi yatakayotumiwa katika matibabu...

Ajuza, 83 akiri kuwa na misokoto ya bangi

Na REGINAH KIBOGU na VICTOR RABALLA AJUZA mwenye umri wa miaka 83 akiwa katika mahakama ya Nyeri alikiri Alhamisi mashtaka ya kupatikana...

MARAGUA: Eneo ambako polisi hushirikiana na genge kuuza bangi

Na MWANGI MUIRURI MWEZI Mei kulizuka kisa cha kushtusha kiusalama katika mji wa Maragua ambao uko katika Kaunti ya Murang’a ambapo...

Bangi aliyovuta Bob Marley ni safi kuliko ya sasa – Msomi

Na MASHIRIKA MTAFITI hatimaye amegundua bangi ya asili iliyokuwa ikivutwa na mwanamuziki nguli wa reggae Bob Marley kati ya miaka ya...

Polisi wanasa bangi yenye thamani ya kiasi cha Sh5 milioni eneo la Kiandutu

Na LAWRENCE ONGARO POLISI wa Thika wamenasa bangi kiasi cha magunia kumi yenye thamani kubwa katika nyumba moja katika kijiji cha...

Kuvuta bangi yenye sumu ya chura hunituliza nisifanye unyama – Mike Tyson

Na PETER MBURU ALIYEKUWA mwanabondia maarufu duniani Mike Tyson ametoboa kuwa kuvuta bangi iliyo na sumu ya chura ndiko kumekuwa...

Bangi iliyosafirishwa kwa lori la mafuta yanaswa

Na PETER MBURU POLISI Kaunti ya Nakuru Jumatatu walinasa bangi ya dhamana ya Sh3.6 milioni, ambayo ilikuwa ikisafirishwa katika lori la...

Aliyebeba bangi apata ajali, anaswa na polisi

MACHARIA MWANGI na BENSON MATHEKA Dereva aliyekuwa akisafirisha bangi alinusurika ajali ya barabarani lakiini akajipata katika mikono...

Wendawazimu wamejaa hospitalini kutokana na uvutaji bangi – Daktari

Na NDUNGU GACHANE MTAALAMU wa kutibu maradhi ya kiakili amesema matumizi ya bangi miongoni mwa vijana ndicho kichocheo kikubwa cha...