• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 5:55 AM

Kuzimwa kwa BBI kulivyovuruga siasa za urithi 2022

Na BENSON MATHEKA Kuzimwa kwa mchakato wa kubadilisha katiba kupitia Mpango wa Maridhiano (BBI), kumevuruga mipango ya wanasiasa...

Mwanasheria Mkuu kukata rufaa ya BBI katika Mahakama ya Juu

Na RICHARD MUNGUTI MWANASHERIA Mkuu Paul Kihara Kariuki atawasilisha rufaa katika Mahakama ya Juu kujaribu kufufua mpango wa kurekebisha...

BBI ilivyotafuna mabilioni ya mlipa ushuru

Na WANDERI KAMAU KUHARAMISHWA kwa Mpango wa Marekebisho ya Katiba (BBI) hapo jana ni pigo kubwa kwa mlipa-ushuru, kwa kuwa serikali...

Vigogo wa kisiasa kutafuta mbinu mpya kusuka miungano bila BBI

Na CECIL ODONGO WANASIASA wakuu nchini sasa watalazimika kurejea mezani na kubuni mikakati mipya ya kutwaa urais mwaka ujao baada ya...

Reggea ilizma Ajenda Nne Kuu za Rais – Ruto

Na SAMMY WAWERU SALAMU za maridhiano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga zilichangia kusambaratika kwa mipango...

JAMVI: Huenda miswada isaidie Uhuru, Raila kuandaa refarenda

Na DAVID MWERE RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanaweza kutimiza lengo lao la nchi kuandaa kura ya maamuzi hata kama...

Uhuru asisitiza mipango ya BBI bado ipo

Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta amesisitiza kuwa mpango wa kurekebisha katiba bado upo, huku akiwasuta wanasiasa wanaopinga...

WANDERI KAMAU: Waliopigania ukombozi wasipuuzwe

Na WANDERI KAMAU MAJUZI, nimemaliza kusoma vitabu viwili—Detained: A Writer’s Prison Diary chake Ngugi wa Thiong’o na I Refuse to...

Tutaheshimu uamuzi wa mahakama ya rufaa kuhusu BBI – Raila

Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga ametangaza kuwa ataheshimu uamuzi wa mahakama ya rufaa kuhusu hatma ya Ripoti ya Mswada...

BBI: Karua adai Uhuru alinyakua mamlaka ya raia

Na RICHARD MUNGUTI KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Bi Martha Karua, na wakili mashuhuri John Khaminwa, Ijumaa waliongoza mawakili 10...

Majaji wakemea Uhuru, wamzuia kujadili kesi, BBI

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Rufaa imewaonya vikali viongozi wakuu serikalini na wahusika wote katika kesi kuhusu mageuzi ya katiba...

Rais ashauri mahakama itumie hekima

JUMA NAMLOLA na RICHARD MUNGUTI RAIS Uhuru Kenyatta ameitaka idara ya mahakama itumie hekima kubwa na kuzingatia utulivu wa kisiasa...