• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 10:15 AM

Rufaa ya BBI kung’oa nanga juma lijalo

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Rufaa imeamuru kesi ya kupinga mchakato wa mageuzi ya Katiba (kupitia mswada wa BBI) isikizwe Juni 2,...

Wapingao BBI wataka rufaa isikizwe na majaji 11

Na JOSEPH WANGUI WALALAMISHI katika mchakato wa Mpango wa Maridhiano (BBI) wanataka rufaa zitakazowasilishwa na wale wanaounga mkono...

Wakereketwa wa BBI waomba kukubaliwa kucheza reggae

Na JUMA NAMLOLA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga anataka Mahakama ya Rufaa iruhusu kufanyika kwa kura ya maamuzi kuhusu BBI, wakati kesi ya...

NANI ATALIPA HAWA WAZITO?

Na BENSON MATHEKA WAKENYA huenda wakalazimika kulipa mamilioni ya pesa kugharamia kesi ya rufaa kuhusu mswada wa marekebisho ya katiba...

Wadai taarifa ya pesa zilizotumika kwa BBI

Na WANDERI KAMAU MASHIRIKA ya kutetea haki za umma yanamtaka Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi Nancy Gathungu, kufanya ukaguzi...

MAYATIMA WA BBI

Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Mahakama Kuu kubatilisha Mswada wa Marekebisho ya Katiba 2020, maarufu kama Mpango wa Maridhiano (BBI),...

Ruto aonywa asifurahie masaibu ya Rais Uhuru

Na WAANDISHI WETU Naibu Rais William Ruto na washirika wake wa kisiasa wanaendelea kusherehekea masaibu ya mkubwa wake Rais Uhuru...

JAMVI: Mirindimo mipya ya Tangatanga baada ya BBI kuzikwa

Na WANDERI KAMAU MRENGO wa ‘Tangatanga’ umepata msisimko mpya wa kisiasa katika ukanda wa Mlima Kenya na Bonde la Ufa, kufuatia...

Wakenya wafurahia Mahakama Kuu kuzima densi ya Reggae

Na MARY WANGARI WAKENYA jana walifurika katika mitandao ya kijamii kuelezea maoni mseto kufuatia Uamuzi wa Mahakama Kuu uliofutilia...

Chama cha UGM chataka Uhuru atimuliwe kwa kukiuka katiba

NA WACHIRA MWANGI KATIBU Mkuu wa chama cha United Green Movement Party (UGM) Hamissa Maalim Zaja sasa analitaka bunge lipitishe hoja ya...

Serikali yapandisha bei ya mafuta baada ya majaji kurarua BBI

Na WINNIE ONYANDO SIKU moja tu baada ya mchakato wa BBI kusambaratishwa na Mahakama Kuu, bei ya bidhaa huenda ikaongezeka kufuatia hatua...

Karua na kundi la Tangatanga walivyoungana kushambulia BBI

Na Wanderi Kamau LICHA ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, kupigia debe Mpango wa Maridhiano (BBI), kuna...