Tag: BIMA
Kila familia kulipa Sh6,000 katika mageuzi mapya NHIF
Na Otiato Guguyu KILA familia italazimika kulipa ada ya lazima ya Sh500 kwa Mpango wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) huku serikali ikiandaa...
Wakazi Kisauni wahimizwa wakate bima ya afya
Na WINNIE ATIENO WAKAZI wa Kisauni wamehimizwa kuchukua Hazina ya Bima ya Kitaifa ya Matibabu (NHIF) iwagharimie matibabu...
‘Wahudumu wa afya Mombasa hawana bima ya afya’
Na WINNIE ATIENO WAHUDUMU wa afya katika Kaunti ya Mombasa wanafanya kazi bila bima ya afya wakiendelea kuhatarisha maisha yao...
Bima ya afya bado ghali kwa Wakenya, lakini suluhu zipo
Na SAMMY WAWERU Kulingana na Wizara ya Afya takriban asilimia 13 ya Wakenya hawana uwezo kupata huduma za afya kwa...
- by adminleo
- August 3rd, 2020
Madaktari washinikiza kupewa bima ya afya
JUMA NAMLOLA na WINNIE ATIENO MADAKTARI katika hospitali za umma Kaunti ya Mombasa, sasa wanataka serikali iwape bima ya afya huku visa...
- by adminleo
- April 3rd, 2020
Binti apiga hatua katika biashara ya bima licha ya changamoto
PAULINE ONGAJI Sio wengi wanaweza kumudu huduma za bima hapa nchini. Na hii ni mojawapo ya sababu zilizomsukuma Bi Wanjiru Githiomi, 45,...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Wanafunzi wote kunufaika na bima ya afya
Na FAITH NYAMAI WANAFUNZI wote milioni 10 nchini watapokea bima ya serikali ya afya mwaka huu bila kujali iwapo maelezo yao...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Tuelezwe Sh636m za bima kwa afya ya wakongwe zilivyotumika – Wabunge
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wameitaka Wizara ya Afya na Hazina ya Bima ya Kitaifa ya Matibabu (NHIF) kutoa maelezo kamili kuhusu namna...
- by adminleo
- May 21st, 2019
BIMA: Wamiliki wa 14 Riverside kuvuna fidia ya Sh400m
Na BERNARDINE MUTANU WAMILIKI wa jengo la 14 Riverside mtaani Westlands, Nairobi wanatarajia kulipwa Sh400 milioni kama bima kutokana na...
- by adminleo
- November 19th, 2018
Itikadi zazuia wengi kuchukua bima ya mazishi wakiwa hai
Na MWANDISHI WETU LICHA ya kauli kuwa kuzaliwa ni bahati kufa ni lazima, jamii nyingi barani Afrika bado hazitaki kujadili wazi...
- by adminleo
- October 4th, 2018
Wakenya washauriwa kuchukua bima ya mazishi
Na BERNARDINE MUTANU WAKENYA wameombwa kuchukua bima ya mazishi ili kuwafaa zaidi wanapopatwa na msiba. Shirikisho la Watoaji Bima nchini...
- by adminleo
- August 15th, 2018
Amuua mpwa wake ili ajitajirishe na mamilioni ya bima
NA PETER MBURU MWANAMUME anayetuhumiwa kumuua mpwa yake ili kudai Sh9 milioni kutoka kwa kampuni za bima hatimaye amefikishwa kortini na...