• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 11:38 AM

Aibu tupu mke wa mwanasiasa kukataa kuandalia wafuasi chai

NA NICHOLAS CHERUIYOT ABOSI, SOTIK MWANASIASA limbukeni kutoka eneo hili alipata aibu ya mwaka mkewe alipohepa bila kuandalia chai...

Mama mboga ‘aoza’ binti kwa mteja wa kila siku

Na TOBBIE WEKESA BUNYALA, BUSIA MAMA mboga wa eneo la hapa aliwaacha wengi vinywa wazi alipompa polo binti yake kama...

Boda atupwa nje kwa kutafuna muguka huku ibada ikiendelea

Na CHARLES ONGADI MAJAONI, MOMBASA BODABODA mmoja wa hapa alifurushwa kutoka kanisani kwa kutafuna muguka mahubiri...

Ghulamu mtukutu apiganisha wazazi

Na NICHOLAS CHERUIYOT MOGOIYWET, Narok GHULAMU mtukutu kutoka eneo hili aliwagonganisha wazazi wake kwa kutoroka kutoka shule ya...

Arudi na zawadi alipokosa mlo harusini

Na LEAH MAKENA KEROKA, Kisii MAMA wa hapa alishangaza wengi alipokataa kupeana zawadi kwa maharusi na kurejea nayo nyumbani kwake kwa...

Atumia kahaba kuzima polo msumbufu

Na JOHN MUSYOKI MATUU, MACHAKOS KIOJA kilishuhudiwa katika ploti moja mtaani hapa, jamaa alipopiga nduru baada ya mama aliyetarajia...

Mke asukumia mume mhanyaji kipusa

Na MWANDISHI WETU KIEMBENI, MOMBASA KALAMENI wa hapa alijipata kwenye njia panda baada ya mkewe aliyemuoa takribani miaka mitano...

Ujanja wa kahaba wazimwa na mganga

Na JOHN MUTUKU SAMUEL DEMU aliyesifika mtaani hapa kwa ujanja wake wa kuwatapeli wanaume maelfu ya pesa baada ya kula uroda nao,...

Waumini wafokea pasta dikteta

Na TOBBIE WEKESA UGWERI, RUNYENJES WAUMINI wa kanisa moja lililoko hapa walitishia kumtimua pasta wao wakidai alikuwa...

Buda aliyefumaniwa alipa Sh0.5m

Na MWANDISHI WETU KAGIO, KIRINYAGA BUDA eneo hili alilazimika kulipa mwanamume mwenzake nusu milioni jamaa zake wakishuhudia baada ya...

Wazee wadai ‘kitu kidogo’ kwa mganga

Na TOBBIE WEKESA MSAKASA, Bungoma KIZAAZAA kilizuka eneo hili baada ya wazee kumlazimisha mganga kuwagawia sehemu ya faida...

Kioja mama akiuza shamba aponde raha

Na JOHN MUSYOKI KIVAA, MASINGA WAKAZI walishuhudia sinema ya bwerere mwanamke mmoja alipoamuru nyumba ya mwanawe ibomolewe ili auze...