Tag: ebola
- by adminleo
- June 3rd, 2020
Ebola yazuka upya DRC
NA MASHIRIKA Kinshasa, DRC Nchi ya Jmahuri ya Kidemokrasia ya Congo ilitangaza kuibuka tena kwa ugonjwa wa Ebola kwa mara ya kumi na...
- by adminleo
- August 30th, 2019
Ebola yasababisha kifo cha mtoto nchini Uganda
Na MASHIRIKA UGANDA imesema kuwa imethibitisha kisa cha pili cha ugonjwa hatari wa Ebola nchini humo miezi miwili na nusu baada ya visa...
- by adminleo
- August 13th, 2019
Dawa aina mbili zaonyesha mafanikio makubwa kukabili Ebola
Na AFP na MARY WANGARI WANASAYANSI wamesema wanakaribia kupata tiba ya kwanza mwafaka dhidi ya virusi vya Ebola baada ya aina mbili za...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Familia yapigania mwili wa aliyekufa kwa Ebola
Na AFP KIZAAZAA kilizuka katika wilaya ya Kikuube, Uganda, pale jamaa wa mtu aliyeshukiwa kuambukizwa Ebola walijaribu kuuchukua mwili...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Mgonjwa aliyegundulika kuugua Ebola mjini Goma afariki
Na AFP GOMA, DRC MGONJWA aliyegundulika kuwa na Ebola katika kisa cha kwanza katika mji wa Mashariki mwa DRC wa Goma amefariki,...
- by adminleo
- July 2nd, 2019
Serikali yaimarisha ukaguzi wa Ebola mpakani
Na GERALD BWISA SERIKALI imeimarisha uchunguzi mpakani kati ya Kenya na Uganda, ambapo imetoa mafunzo kukabiliana na ugonjwa wa Ebola...
- by adminleo
- June 18th, 2019
TAHARIRI: Habari kuhusu Ebola zisiwe za kuzua hofu
NA MHARIRI KUNA haja kubwa kwa maafisa katika Wizara ya Afya kuwa katika hali ya tahadhari wakati huu ambapo kumekuwa na mkurupuko wa...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Serikali yaongeza juhudi za kujikinga kutokana na Ebola
GEORGE ODIWUOR na VITALIS KIMUTAI WATU wanne waliolazwa katika hospitali ya rufaa ya Kericho kwa hofu kuwa wanaugua Ebola wataondolewa...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Ufisadi ni hatari kuliko Ebola – Wabukala
Na BENSON AMADALA MWENYEKITI wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) Askofu Mkuu (mstaafu) Eliud Wabukala amewataka Wakenya...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Kaunti zipewe fedha kukabiliana na Ebola – Maseneta
Na PETER MBURU MASENETA Jumanne waliitaka Serikali Kuu kuchukua hatua za haraka kutoa pesa inazodaiwa na serikali za kaunti, ili...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Hofu ya Ebola Kenya
VITALIS KIMUTAI, CECIL ODONGO Na PETER MBURU HOFU ilienea nchini jana watu wanne walipotengwa katika Hospitali ya Kericho Referral,...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Tanzania yatoa tahadhari kuhusu Ebola
NA MASHIRIKA SERIKALI ya Tanzania Jumapili ilitoa tahadhari kuhusu maambukizi ya Ebola baada ya ugonjwa huo ambao umesababisha vifo vya...