Tag: eldoret
- by adminleo
- March 26th, 2020
Wakazi walia vibanda vya video vinawaharibia watoto
Na TITUS OMINDE WAZAZI na walezi mjini Eldoret wanataka serikali ivifunge vyumba vyote vya kuonyesha video. Wanasema vyumba hivyo...
- by adminleo
- March 3rd, 2020
Mkutano wa BBI Eldoret wafutwa
ERIC MATARA na ONYANGO K’ONYANGO MKUTANO wa kuupigia debe Mpango wa Maridhiano (BBI), ambao ulikuwa umeratibiwa kufanyika mjini...
- by adminleo
- January 8th, 2020
Washukiwa wanne wa uhalifu wauawa Eldoret
Na TITUS OMINDE MAAFISA wa polisi mjini Eldoret wamewapiga risasi na kuwaua watu wanne ambao walishukiwa kuwa wahalifu waliokuwa...
- by adminleo
- November 16th, 2019
Dominic Kimengich ateuliwa kuwa Askofu wa Dayosisi ya Eldoret
Na JEREMIAH KIPLANG'AT PAPA Francis wa Kanisa Katoliki amemteua Dominic Kimengich kuwa Askofu wa Dayosisi ya Eldoret, wadhifa uliobaki...
- by adminleo
- May 26th, 2019
BI TAIFA MEI 02, 2019
Anayetupambia ukurasa wetu ni Faith Bitok 21. Yeye ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Moi Eldoret. Uraibu wake ni kupika, kuogelea na...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Jela miezi 6 kwa kupanda bangi kanisani akidai ni maua
Na TITUS OMINDE MWANAUME mmoja alifungwa jela Jumatatu na mahakama ya Eldoret baada ya kupatikana na hatia ya kupanda mmea wa bangi...
- by adminleo
- June 7th, 2018
Mwanamke ashangaza korti kusamehe madume 5 waliombaka
Na TITUS OMINDE MWANAMKE aliyekuwa amedai kubakwa na wanaume watano, Alhamisi alishangaza Mahakama ya Eldoret alipoondoa malalamiko...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Timu 50 za kimataifa kushiriki mashindano ya voliboli Eldoret
Na GEOFFREY ANENE ZAIDI ya timu 50 kutoka mataifa sita zimetoa ithibati ya kuwania ubingwa wa mashindano ya kimataifa ya voliboli ya Amaco...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Madaktari watoa sindano 7 kutoka tumbo la mtoto
TITUS OMINDE na DENNIS LUBANGA MADAKTARI katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Moi (MTRH) mjini Eldoret wamefanikiwa kutoa sindano...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Ruto ajikumbusha maisha ya ‘uhasla’
DPPS na BERNARDINE MUTANU NAIBU Rais William Ruto Jumamosi alijikumbusha siku za kuwa ‘hasla’ kwa kutembelea Kambi Kuku mjini...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Kizaazaa kortini DNA kuonyesha mama ndiye mzazi halisi wa mtoto ‘aliyeiba’
Na TITUS OMINDE KULIKUWA na sarakasi katika mahakama ya Eldoret Jumatatu pale mahakama ilipoamuru kuwa mama ambaye alishtakiwa kuiba...