Tag: Evans Kidero
- by T L
- December 9th, 2022
Kidero agonga mwamba
NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero amegonga mwamba katika jitihada zake kumtimua Jaji Esther Maina katika...
- by T L
- December 13th, 2021
Kidero, Orengo wahudhuria Azimio La Umoja badala ya korti
Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero anayekabiliwa na kesi ya ufisadi wa Sh68 milioni Ijumaa, Desemba 10,...
- by T L
- October 22nd, 2021
Kidero alia mbinu chafu za wapinzani
Na GEORGE ODIWOUR ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Dkt Evans Kidero, ameshutumu baadhi ya wanasiasa katika Kaunti ya Homa Bay kwa kutumia...
Utata magavana waliobwagwa wakipanga kuwania
Na JUSTUS WANGA UTATA umeibuka kuhusu iwapo magavana ambao walipoteza viti vyao baada ya kuhudumu kwa muhula mmoja wanaweza kuwania...
Kidero akiri kutangamana na Raila aliyeambukizwa corona
Na CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero ambaye ni mmoja wa watu waliotangamana na kiongozi wa ODM Raila Odinga...
Kidero akemea wanaovuruga mikutano
Na GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Dkt Evans Kidero na Mbunge wa Rangwe Dkt Lilian Gogo wamewakashifu baadhi ya viongozi wa...
Pingamizi kwa Kidero akitaka kuwika kijijini
Na GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Dkt Evans Kidero anakabiliwa na wakati mgumu kushawishi wapigakura sababu zake za kutaka...