• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:55 PM

KASHESHE: Ezekiel Mutua arudisha ngori

NA SINDA MATIKO KUFUATIA kurejeshwa kwa leseni za muziki, sasa wahudumu wa matatu na waandalizi wa shoo wapo kwenye ngori ya kupigwa...

Hisia mseto Ezekiel Mutua akitimuliwa kutoka kwa bodi ya filamu

Na MARY WANGARI HATUA ya kumfuta kazi Afisa Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Nchini (KFCB), Dkt Ezekiel Mutua, imeibua hisia...

Video zenye uchochezi wa kisiasa kufutwa mitandaoni

Na Winnie Atieno VIDEO za wanasiasa zenye kauli za uchochezi zitafutwa mitandaoni na wahusika kuchukuliwa hatua kali za kisheria, katika...

Hii ‘reggae’ ya BBI nitaizima, aapa Ezekiel Mutua

NA CECIL ODONGO AFISA Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Nchini (KFCB) Dkt Ezekiel Mutua ameonya MaDJ ambao hukodishwa kutumbuiza kwenye...

SADFA: Ezekiel Mutua asimulia kuugua kwa babake huku naye akisubiri upasuaji

NA MARY WANGARI Mwenyekiti wa Bodi ya Kitaifa ya Filamu Nchini (KFCB) Ezekiel Mutua amevutia hisia baada ya kusimulia jinsi ugonjwa wa...

KFCB yatisha kupiga marufuku maonyesho ya wasanii wenye hulka ya Akothee

Na BERNARDINE MUTANU BODI ya Uanishaji wa Filamu nchini (KFCB) imeonya kupiga marufuku maonyesho yote ya wasanii katika umma ikiwa...

Tovuti zote za ngono nchini zizimwe – Ezekiel Mutua

NA CHARLES WANYORO AFISA Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi na Uainishaji wa Filamu nchini Dkt Ezekiel Mutua ameunga mkono wito wa kuzima...

Wakenya wachuje habari za mitandaoni – Ezekiel Mutua

NA MWANDISHI WETU WAKENYA wameshauriwa kubainisha kwa makini habari wanazosikiliza kabla ya kuamini ukweli wake. Afisa mkuu wa Bodi...

KFCB kushtaki runinga zinazopeperusha matangazo ya kondomu

Na PETER MBURU MWENYEKITI wa Bodi ya Kusimamia na Kukadiria Uainishaji wa Filamu nchini (KFCB) Ezekiel Mutua ameelezea kughadhabishwa...

Onyo kwa waundaji wa filamu bila leseni

Na LEONARD ONYANGO BODI ya Kutathmini Ubora wa Filamu nchini (KFCB) imetishia kuwashtaki watengenezaji wa filamu wanaohudumu bila...