• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:55 PM

Manufaa ya kuendesha baiskeli

Na GEOFFREY ANENE HUKU makundi mengi ya uendeshaji baiskeli jijini Nairobi yakiwemo Kenya Cycling na Wheels of Africa yakizidi kuhamasisha...

Co-op yazoa faida ya Sh12.7 bilioni

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Co-operative imetangaza ongezeko la asilimia 11.6 la faida baada ya kutozwa ushuru hadi Sh12.7 bilioni kwa...

Benki ya Diamond yavuna faida ya Sh11 bilioni

Na BERNARDINE MUTANU BENKI ya Diamond Trust imetangaza ongezeko la asilimia tisa la faida kabla ya kutozwa ushuru. Katika mwaka...

Benki ya Equity pia yapata faida

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Equity imetangaza faida ya asilimia 18 baada ya kutozwa ushuru kwa miezi sita ya mwanzo 2018. Benki hiyo...

KCB yazoa faida ya Sh12 bilioni kwa miezi 6

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Kenya Commercial imetangaza ongezeko la faida la asilimia 18 baada ya ushuru katika miezi ya mwanzo ya...

Mbinu ilizotumia Safaricom kuzoa faida ya Sh55 bilioni licha ya wimbi la #Resist

Na CHARLES WASONGA KAMPUNI ya mawasiliano ya Safaricom ilipata faida ya Sh55.29 bilioni, baada ya kutozwa ushuru, katika mwaka wa...

Mazingira ya biashara Kenya yainufaisha Huawei

Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya Huawei Technologies imepata faida kubwa baada ya kutoa matokeo yake ya kifedha, na kuonyesha kuwa kampuni...

I&M pia yapungukiwa na faida

Na BERNARDINE MUTANU BENKI ya I&M imepata upungufu wa mapato yake baada ya kutozwa ushuru kwa asilimia sita, katika mwaka uliokamilika...

Hali ngumu ya uchumi yapunguza faida ya benki ya Co-operative

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Co-operative imeandikisha kupungukiwa kwa faida baada ya mapato yake kutozwa ushuru kwa mwaka wa...

Faida ya Kenya Power yashuka

Na BERNARDINE MUTANU FAIDA ya kampuni ya Umeme nchini (Kenya Power) imeshuka kwa asilimia 30.3. Hii ni baada ya kupata mapato baada ya...