• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 8:50 AM

Chakula: Magoha awapa matumaini walimu wakuu

NA WYCLIFFE NYABERI WAZIRI wa Elimu Profesa George Magoha (pichani), amewahakikishia walimu wakuu wa shule kuwa serikali imejitahidi...

Waziri adai wakuu wa shule husajili watahiniwa hewa wakikusudia kuiba mitihani

NA DERICK LUVEGA WAZIRI wa Elimu George Magoha, Jumanne alifichua kuwa wakuu wa shule wamekuwa wakisajili ‘watahiniwa hewa’ kwa...

Magoha aonya wakuu wa shule kuhusu karo

NA DERICK LUVEGA WALIMU wakuu watakaokiuka sheria inayowazuia kuwafukuza wanafunzi ambao hawajamaliza kulipa karo watakabiliwa na hatua...

Magoha asisitiza sharti kiboko kirejee shuleni

Na WYCLIFFE NYABERI WAZIRI wa Elimu, George Magoha amerejelea kampeni yake ya kutaka kiboko kirudishwe shuleni. Prof Magoha alisema...

Basari: Magoha asuta wabunge kwa ubaguzi

Na WINNIE ATIENO WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha, ameanzisha msako kuwatafuta wanafunzi ambao hawajajiunga na Kidato cha Kwanza huku...

Wakosoa Magoha kutosajili shule

Na SAMWEL OWINO WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha amekosolewa na wabunge kuhusu agizo lake la kusitisha usajili wa shule...

Serikali yatoa Sh17.4 bilioni kufadhili masomo katika shule zote za umma

Na WINNIE ONYANDO SERIKALI ilitoa Sh17.4 bilioni kama ufadhi wa masomo katika shule zote za umma nchini muhula huu wa kwanza. Katika...

Magoha azuia vyuo vikuu kuongeza karo, mageuzi

Na FAITH NYAMAI WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha amesitisha mipango ya vyuo vikuu kufanya mageuzi ambayo huenda yakasababisha maelfu...

Karo: Magoha aonya walimu akiwataka kutofukuza wanafunzi

Na LAWRENCE ONGARO WALIMU wakuu wa shule za upili wameagizwa wasiwafukuze wanafunzi kwa sababu ya karo ya shule. Waziri wa Elimu Prof...

Wabunge watisha kumtimua Magoha

Na Florah Koech WABUNGE watatu kutoka Kaunti ya Baringo, wametishia kuwasilisha hoja ya kumtimua Waziri wa Elimu Profesa George Magoha...

Chama cha wazazi chataka serikali iwaandame walimu wakuu watozao ada za haramu

Na TITUS OMINDE MWENYEKITI wa Chama cha Kitaifa cha Wazazi (NPA) Nicholas Maiyo ameitaka Wizara ya Elimu kuwachukulia hatua baadhi ya...

Tetesi kuhusu ukosefu wa sodo shuleni ni uongo mtupu – Prof Magoha

Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Elimu Prof George Magoha amepuuzilia mbali madai ya kuwepo na upungufu wa sodo miongoni mwa wanafunzi...