• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:55 PM

TAHARIRI: Viongozi wasisute ovyo tume ya IEBC

KITENGO CHA UHARIRI HUKU tarehe rasmi ya Uchaguzi Mkuu ikizidi kukaribia, baadhi ya wanasiasa wameanza kuzidisha mashambulizi dhidi ya...

IEBC huru kuandaa uchaguzi- Korti

JOSEPH WANGUI na LEONARD ONYANGO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), sasa iko huru kuendelea na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa...

Idadi ndogo ya wanaojiandikisha wawe wapigakura yashuhudiwa kwenye vituo mbalimbali

Na SAMMYWAWERU SIKU mbili baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuzindua rasmi shughuli ya kuwasajili wapigakura wapya, idadi...

Wanasiasa wabuni njama IEBC ikisajili wapigakura wapya

Na WAANDISHI WETU IDADI ndogo ya wananchi walijitokeza Jumatatu katika kaunti za Pwani kwa usajili wa wapigakura wapya, huku baadhi ya...

Wanasiasa wasukuma ngome zao kujisajili

Na WANDISHI WETU TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) inaanza leo Jumatatu shughuli ya kusajili wapigakura kote nchini huku Naibu wa...

Wabunge wakiri IEBC imepungukiwa na fedha za uchaguzi

Na CHARLES WASONGA SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati kulalamikia kupungukiwa na...

CHARLES WASONGA: IEBC iruhusu Wakenya wote walio ughaibuni wapige kura

Na CHARLES WASONGA KULINGANA na takwimu zilizotolewa na Benki Kuu ya Kenya (CBK) mwezi jana, Wakenya wanaoishi na kufanya kazi katika...

Chebukati aonya dhidi ya kampeni hizi za mapema

Na WINNIE ATIENO TUME ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC), imeonya wanasiasa dhidi ya kampeni za mapema zinazoendelea kuzua joto la...

IEBC yakana ‘kumsaidia’ Ruto

Na WANDERI KAMAU TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Jumanne ilikanusa madai kuwa inashirikiana kisiri na mrengo wa ‘Hustler...

Licha ya kupata makamishna 7, IEBC bado inayumba

Na LEONARD ONYANGO HUKU ikiwa imesalia chini ya miezi 11 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, 2021, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka...

Linda Katiba wasema waliopendekezwa kuteuliwa makamishna wa IEBC hawafai

Na CHARLES WASONGA VUGUVUGU la Linda Katiba limeelezea kutoridhishwa kwake na ufaafu wa watu wanne walioteuliwa na Rais Uhuru Kenyatta...

IEBC motoni kuhusu pesa za kampeni

Na WINNIE ONYANDO WABUNGE Jumatano waliishutumu Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa kuchapisha kanuni kuhusu ufadhili wa kampeni...