Tag: kibra
- by adminleo
- November 8th, 2019
Imran Okoth ashinda kiti cha ubunge Kibra
Na CECIL ODONGO MWANIAJI wa Chama cha ODM katika uchaguzi mdogo wa Kibra Imran Bernard Okoth ndiye atakakuwa mbunge mpya wa Kibra mara...
- by adminleo
- November 7th, 2019
Wapigakura eneo la Kibra waanza kutekeleza haki yao kidemokrasia
Na COLLINS OMULO na SAMMY WAWERU WAKAZI wa Kibra, Kaunti ya Nairobi na ambao ni wapigakura wameanza kutekeleza haki yao ya kidemokrasia...
- by adminleo
- November 6th, 2019
KIBRA: Kiyama cha Ruto, Raila chafika
Na CECIL ODONGO UBABE wa kisiasa kati ya Naibu wa Rais William Ruto na Kinara wa ODM Raila Odinga utapimwa Alhamisi, wapigakura eneo la...
- by adminleo
- November 6th, 2019
IEBC yajitetea kuhusu sajili ya wapigakura Kibra
Na MAUREEN KAKAH? TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Jumanne alieleza mahakama kwamba imetoa habari zote muhimu kuhusu sajili ya...
- by adminleo
- November 5th, 2019
KIBRA: ODM yaishtaki IEBC kuhusu sajili
Na MAUREEN KAKAH CHAMA cha ODM kimeishtaki Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa kukosa kuweka wazi sajili ya wapiga kura wa eneo...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Je, Kibra watachagua sera au umaarufu?
Na BENSON MATHEKA Huku kampeni za uchaguzi mdogo wa eneobunge la Kibra zikiingia kipindi cha lala salama, wapigakura wataamua iwapo...
- by adminleo
- November 4th, 2019
WASONGA: Kibra wapuuze Raila, Ruto wajichagulie kiongozi bora
Na CHARLES WASONGA UCHAGUZI mdogo katika eneobunge la Kibra umegeuka kuwa wa aina yake kutokana na sababu kwamba wanasiasa vigogo...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Mariga ataka bangi ihalalishwe
LEONARD ONYANGO na ANITA CHEPKOECH MGOMBEAJI ubunge katika uchaguzi mdogo wa Kibra kwa tiketi ya Chama cha Jubilee, Bw McDonald Mariga...
- by adminleo
- November 2nd, 2019
Tutamshinda Raila asubuhi na mapema Kibra – Ruto
Na SAMUEL BAYA na KITAVI MUTUA NAIBU Rais Dkt William Ruto amesema Jumamosi kwamba chama cha Jubilee kitashinda kwa kishindo chama cha...
- by adminleo
- November 1st, 2019
IEBC yapuuza madai ya ODM kuihusu sajili
Na CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imepuuzilia mbali malalamishi ya ODM kwamba haikutoa sajili sahihi ya...
- by adminleo
- October 28th, 2019
Wazozania jina la Uhuru
Na LEONARD ONYANGO na COLLINS OMULO NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM, Raila Odinga walitumia jina la Rais Uhuru Kenyatta...
- by adminleo
- October 14th, 2019
Jubilee yataka IEBC imfungie nje mgombea wa ODM Kibra
Na COLLINS OMULO KAMPENI za uchaguzi mdogo katika eneobunge la Kibra zinazidi kuchukua mkondo wa kutisha, kwani wanasiasa wanaonekana...