• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Si lishe tu, kilimo cha ‘minji’ kinaongeza rutuba shambani

Na SAMMY WAWERU Kwa muda mrefu David Muriuki ambaye ni mtaalamu na afisa wa Kilimo Kaunti ya Kirinyaga amekuwa akijaribu kuangazia suala...

Wakulima wataka NCPB ipewe fedha

STANLEY KIMUGE na WYCLIFF KIPSANG WAKULIMA wa mahindi eneo la Bonde la Ufa wametoa wito kwa serikali kuharakisha kutoa pesa kwa Bodi ya...

AWINO: Magavana waache unafiki katika sheria mpya ya kilimo

Na AG Awino Nilizungumza kwa mapana na marefu na aliyekuwa mwakilishi wa wakulima kwenye Bodi ya Sukari Bw Okoth Obado kuhusu maoni yake...

Matumaini ya BBI kuinusuru sekta ya kilimo

Na KENNEDY KIMANTHI RIPOTI ya Jopokazi la Maridhiano (BBI) imetoa mapendekezo ya kuimarisha sekta ya kilimo na kuwazima wafanyabiashara...

AWINO: Wakulima hawana cha kujifutia jasho, wanapunjwa tu

NA AG AWINO Mapema mwezi jana, polisi walinasa tani nyingi za mchele ulioharibika ambao ulikuwa umepangiwa kuuzwa nchini. Ulikuwa wa...

Sheria za vyama vya ushirika zibadilishwe, wasema wafugaji

STANLEY KIMUGE na W. KIPSANG WAFUGAJI wa ng’ombe wa maziwa sasa wanataka sheria zinazoongoza utendakazi wa vyama vya ushirika nchini...

Wakulima waililia kaunti iwachimbie mabwawa

Na DIANA MUTHEU WAKULIMA katika kaunti ya Mombasa wameiomba serikali iwachimbie mabwawa ili waweze kuendeleza kilimo hata wakati wa...

Warejeshewa hela zao baada ya corona kutatiza maonyesho

Na DIANA MUTHEU MAMIA ya watu wamerejeshewa hela zao baada ya janga la corona kutatiza maonyesho ya kilimo ambayo yaliratibiwa kufanyika...

‘Corona ilinisukuma kugeuza shule yangu vyumba vya kilimobiashara’

NA MWANGI MUIRURI BAADA ya kufundisha wanafunzi wa shule za msingi nchini kwa miaka 21, James Kung’u aliamua kugura kutoka ajira ya...

Mbunge apendekeza pesa zaidi kwa kilimo

ONYANGO K'ONYANGO na BARNABAS BII MWENYEKITI wa kamati ya Kilimo katika Bunge la Kitaifa, Bw Sila Tiren, ameirai serikali kuu iongeze...

Wakulima wa mtama wapinga ada mpya

NA GITONGA MARETE MAELFU ya wakulima katika kaunti za Tharaka Nithi na Meru wamepinga vikali mpango wa kutoza ada mpya ya ushuru kwa...

Msiwapake wakulima tope la vita vya Jubilee – Murkomen

NA IBRAHIM ORUKO Maseneta wamekejeli hatua ya serikali ya kukoma kununua mazao ya wakulima wa humu nchini, wakisema hatua hiyo ni...