Tag: kilimo
- by T L
- March 14th, 2022
Mifumo ya teknolojia anayotumia kuendeleza kilimo
Na SAMMY WAWERU ENEO la Juja, Thika Super Highway ni lenye shughuli chungu nzima, kuanzia za kibiashara, masomo na uchukuzi na...
- by T L
- November 25th, 2021
MESPT inavyojituma kupiga jeki sekta ya kilimo nchini na kusaidia kubuni nafasi zaidi za ajira
Na SAMMY WAWERU ZAIDI ya wakulima 40, 000 wanaendelea kunufaika kupitia mpango wa Chama kinachofadhili Mashirika ya Kifedha na...
- by T L
- October 28th, 2021
Ananyoa kwa shoka na wateja wamejaa kibao
Na WANGU KANURI Julius Mwangi, 24, ni kinyozi ambaye amevuma kwa kutumia shoka kuwanyoa wateja wake. Kinyozi huyu aliamua kuanza kutumia...
- by T L
- October 28th, 2021
Kilimo champa ajira na kumlipia karo ya chuoni
Na WINNIE ONYANDO Akiwa katika ziara yake ya kila siku ya kukagua shamba lake la robo ekari, Rueben Onyang’o, 22, anaonekana...
Wito mashirika yashirikiane kueneza bayoteknolojia nchini
Na WANGU KANURI wkanuri@ke.nationmedia.com Kongamano la Mawasiliano ya Bayosayansi Afrika (ABBC2021) limerai washikadau kutoka...
Vyombo vya habari vyatakiwa kuangazia habari za kilimo cha bayoteknolojia
NA WANGU KANURI VYOMBO vya habari nchini vimetakiwa kuwekeza zaidi katika uandishi wa habari na makala kuhusu bayoteknolojia ili kutimiza...
Aibu wizara muhimu zikiburuta mkia katika ripoti ya utendakazi
NA NDUNGI MAINGI IMEKUWA fedheha kwa wizara zilizorodheshwa mkiani katika utendakazi kwenye ripoti ya 2019/2020 kwani ni zile...
Idadi ya vijana kwenye kilimo na ufugaji ni ya chini mno – tafiti za shirika
Na SAMMY WAWERU IDADI ya vijana wanaofanya shughuli za kilimo nchini ni ya chini mno, limesema shirika lisilo la kiserikali (NGO) kutoka...
Kilimo bila kemikali kinalipa, Sylvia asimulia
Na MAGDALENE WANJA Baada ya Bi Sylvia Miloyo kukamilisha masomo yake na kupata shahada katika ujuzi wa Community Developnment na...
Wambora ailaumu Serikali kwa kudhalilisha wakulima
NA RICHARD MAOSI BARAZA la Magavana (CoG), Wizara ya Kilimo, Shirika la Kutoa Msaada Duniani (USAID) ziliandaa mkutano mjini Naivasha...
GILBERT AWINO: Magereza yadhihirisha kilimo ni ngao dhidi ya ukosefu wa ajira
Na GILBERT AWINO IJUMAA wiki ijayo tutakuwa tumeingia mwaka mpya wa 2021. Mwaka huu wa 2020 umeibuka kuwa mgumu sana kiasi kwamba...
AFC yashirikiana na UN Women kuhamasisha wanawake wanaofanya kilimo
Na DIANA MUTHEU SHIRIKA la Mikopo na Ustawishaji Kilimo (AFC) likishirikiana na Kitengo cha Wanawake cha Umoja wa Mataifa (UN Women),...