Tag: kisii
- by T L
- July 23rd, 2022
Wawaniaji Azimio wakimbilia Raila
NA KENYA NEWS AGENCY WAWANIAJI wanaoegemea Azimio La Umoja One Kenya katika Kaunti ya Kisii, wamemsihi mgombea urais wa muungano huo,...
- by T L
- November 29th, 2021
Kibarua cha Raila waasi wakirejea ODM
Na RUTH MBULA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga anakabiliwa na kibarua kikubwa katika Kaunti ya Kisii, huku wagombeaji wa viti mbalimbali...
- by T L
- November 7th, 2021
Huzuni tele ajuza waliouawa kwa madai ya uchawi wakizikwa
Na WYCLIFFE NYABERI WINGU la simanzi lilikigubika kijiji cha Nyagonyi, eneo la Marani, Kaunti ya Kisii wakati wa mazishi ya ajuza watatu...
Siasa za urithi wa Ongwae zachukua mkondo wa ukoo
Na Wycliffe Nyaberi MBUNGE wa Kitutu Chache Kusini Bw Richard Onyonka, amezitaka koo zingine za jamii ya Abagusii kuungana ili kukitwaa...
Huenda wandani wa Ruto Kisii wakamtoroka hivi karibuni
Na RUTH MBULA WABUNGE kadhaa ambao wamekuwa wakimuunga mkono Naibu Rais William Ruto, wameashiria uwezekano wao kumhepa wakati wa...
Matamshi ya Arati yalinikera, pikipiki yangu ilichomwa 2007, Osoro sasa ajitetea
Na SAMMY WAWERU Mbunge wa Mugirango Kusini Silvanus Osoro amejitetea kuhusu kisa ambapo alipigana hadharani na mwenzake wa Dagoretti...
Aibu wabunge wakilimana makonde mazishini
Na SAMMY WAWERU Hafla ya mazishi ya babake Naibu Gavana wa Kisii, Bw Joash Maangi, Mzee Abel Gongera Jumatatu iligeuka kuwa ukumbi wa...
- by adminleo
- January 11th, 2020
Maangi adai maisha yake yamo hatarini
Na CHARLES WASONGA NAIBU GAVANA wa Kisii Joash Maangi sasa anadai maisha yake yamo hatarini saa chache baada ya watu waliodai kuwa...
- by adminleo
- July 7th, 2019
JAMVI: Abagusii hatimaye wapata kigogo awaongoze kisiasa
Na VALENTINE OBARA BAADA ya kukaa miaka mingi bila kigogo mahiri wa kuwaongoza kisiasa, jamii ya Wakisii sasa imeweka matumaini yao kwa...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
Wazazi wawinda mkuu wa shule iliyopata ‘E’ nyingi
Na JADSON GICHANA WAZAZI na wakazi wa eneo la Etago, Kaunti ya Kisii waliandamana jana katika juhudi za kutaka kumng'oa mkuu wa shule ya...
- by adminleo
- June 14th, 2018
Walimu wafumaniwa lojing’i wakiwa na wanafunzi
Na JADSON GICHANA Maafisa wa Polisi eneo la Nyamache, Kaunti ya Kisii wameanzisha uchunguzi kubaini kisa ambapo walimu wawili walidaiwa...
- by adminleo
- May 14th, 2018
Mbunge na mlinzi wake kufunguliwa mashtaka
Na MAGATI OBEBO MBUNGE wa Bobasi Innocent Obiri na mlinzi wake wanatarajiwa kufikishwa mahakamani leo mjini Kisii ambapo watafunguliwa...