Tag: kisumu
Madiwani Kisumu walaumiwa kwa ziara ya Tanzania
Na RUSHDIE OUDIA MADIWANI wa kaunti ya Kisumu wameshutumiwa vikali kwa kufanya ziara ya wiki moja ya mafunzo nchini Tanzania, ziara...
Nyong’o aondoa hofu kuhusu corona inayoshuhudiwa India
Na KNA GAVANA wa Kisumu Prof Anyang’ Nyong’o, amehimiza wakazi kuondoa hofu kuhusu kuzuka kwa aina ya virusi vya corona -...
Uhuru na Raila kusafiri kwa garimoshi hadi jijini Kisumu
Na RUSHDIE OUDIA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, wiki ijayo wanatarajiwa kufanya safari ya kwanza ya...
Uhuru atoa amri miradi Kisumu ikamilike upesi
Na RUSHDIE OUDIA RAIS Uhuru Kenyatta ametoa maagizo mapya ya kukamilishwa kwa miradi ya mabilioni ya pesa katika Kaunti ya Kisumu huku...
Uhuru azindua ujenzi wa uwanja mpya na wa kisasa mjini Kisumu
Na CHRIS ADUNGO RAIS Uhuru Kenyatta amehakikishia vijana kwamba Serikali yake imejitolea kujenga viwanja vipya, kukarabati vile...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Wauguzi wagoma kwa mara ya 4 mwaka huu Kisumu
ELIZABETH OJINA Sekta ya afya kaunti ya Kisumu iko mashakani humu mgomo wa wauguzi na maafisa wa afya ukifikia wiki ya mbili. Mwaka...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Wauguzi Kisumu wasisitiza hawarudi kazini hadi walipwe mshahara wa Januari
Na BRENDA AWUOR WAGONJWA katika hospitali zilizopo Kaunti ya Kisumu, watalazimika kupokea matibabu kutoka hospitali za wamiliki binafsi...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Rais, Raila walihofia kuzomewa Kisumu
Na RUSHDIE OUDIA Baadhi ya wakazi katika eneo la Kisumu walipanga kumwaibisha Rais Uhuru Kenyatta wakati wa kuzindua upya bandari jijini...
- by adminleo
- October 16th, 2019
Rais azuru Kisumu kwa mara ya saba
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta alizuru Bandari ya Kisumu kwa mara ya saba kukagua ujenzi wake unavyoendelea. Rais alifanya...
- by adminleo
- August 18th, 2019
Ukarabati Bandari ya Kisumu waumiza wengi kibiashara
Na WAANDISHI WETU MAELFU ya wafanyabiashara katika Kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara kubwa baada ya majengo na vibanda vyao...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
HANDISHEKI: Kisumu kupata taa za trafiki miaka 118 baadaye!
Na JUSTUS OCHIENG KISUMU itapata taa za trafiki kwa mara ya kwanza kabisa, miaka 118 tangu jiji hilo la eneo la Nyanza kujengwa, ishara...
- by adminleo
- May 13th, 2019
Raila azomewa na wakazi wa Kisumu
RUSHDIE OUDIA Na PETER MBURU WAKAZI wa Muhoroni katika Kaunti ya Kisumu, Jumatatu walimkemea kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga...