• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

Shujaa waalikwa kucheza Uhispania na Ufaransa kabla ya msimu ujao wa Raga ya Dunia

Na CHRIS ADUNGO TIMU ya taifa ya wanaraga saba kila upande almaarufu Shujaa, imepata mwaliko wa kucheza nchini Uhispania na Ufaransa...

KRU yaita wanaraga wa Shujaa kambini

Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Raga la Kenya (KRU) limewaita kambini jumla ya wanaraga 29 ambao kwa sasa watafanyiwa vipimo vya afya kwa...

Msimu wote wa raga wafutiliwa mbali nchini

Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Raga la Kenya (KRU) limefutilia mbali msimu mzima wa 2019-20 kutokana na janga la virusi vya homa kali ya...

KRU kuchunguza madai ya dhuluma za kimapenzi dhidi ya msanii

Na CHARLES WASONGA KWA mara ya kwanza Chama cha Raga Nchini (KRU) kimezungumzia madai ya ubakaji yanayowakabili wachezaji wawili wa...

KRU yatangaza kikosi cha wachezaji 35 wa Simbas 2018

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Raga la Kenya (KRU) limetangaza kikosi cha wachezaji 35 kitakachowakilisha Kenya kimataifa kwenye raga ya...

Simbas hatimaye wapata kocha mpya

[caption id="attachment_3233" align="aligncenter" width="800"] Kocha mpya wa Simbas Ian Snook kutoka New Zealand. Picha/...