Tag: kujifungua
Watoto 88 wazaliwa Krismasi Eldoret
NA TITUS OMINDE WANAWAKE 88 katika hospitali ya mafunzo na rufaa ya Moi MTRH mjini Eldoret walisherehekea Krismasi kwa kujifungulia...
Fistula inavyowahangaisha wanawake
NA WANGU KANURI Yumkini ni furaha ya kila mwanamke mjamzito kumpakata mtoto wake ajapojifungua na pia kuwa mwenye siha njema. Lakini...
AFYA: Ngoja ngoja ya miezi tisa kaja na majonzi tele
NA PAULINE ONGAJI Ni mwezi mmoja sasa tangu kumpoteza mwanawe na Fatuma Ibrahim, 27, bado anauguza jeraha lililotokana na upasuaji...
Kero mama kujifungua karibu na lango la hospitali ya Pumwani
Na SAMMY WAWERU Hospitali ya kujifungulia kina mama ya Pumwani, Nairobi imemulikwa kwa mara nyingine kufuatia utepetevu wake katika...
- by adminleo
- February 24th, 2020
SENSA: Kina mama 180,000 hujifungulia nyumbani
Na PETER MBURU LICHA ya mpango wa serikali wa afya kwa wote na kuondoa mfumo wa kulipisha kina mama wanaotafuta huduma za kujifungua...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Makanga wamsaidia mjamzito kujifunga katika steji
Na KANYIRI WAHITO MAKANGA wa mabasi ya kampuni ya Embassava jijini Nairobi mnamo Ijumaa jioni walimsaidia mwanamke mjamzito kujifungua...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Madaktari waonya dhidi ya dawa za kupunguza maumivu ya uke
Na MISHI GONGO MADAKTARI wameonya wanawake dhidi ya kutumia dawa za kienyeji za kupunguza maumivu ya uzazi, wakisema zinachangia vifo...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Mwanamke ajifungua ndani ya teksi nje ya Nation Centre
FAITH NYAMAI na CHARLES WASONGA MWANAMKE mmoja Jumanne jioni alijifungua mtoto mvulana ndani ya teksi nje ya afisi kuu ya Shirika la...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Mwanamume ashtaki korti kwa kumfanyia upasuaji wa ‘kujifungua’
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME wa miaka 34 kutoka Louisville ameshtaki hospitali moja baada ya kumfanyia upasuaji unaofanyiwa...
- by adminleo
- July 9th, 2019
Mwanamke kulipwa Sh61m kwa kulazimishwa kujifungua akiwa na pingu
MASHIRIKA Na PETER MBURU SERIKALI ya jimbo la New York, Amerika itamlipa mwanamke Sh61 milioni, baada ya kulazimishwa kujifungua akiwa...
- by adminleo
- October 31st, 2018
Vifo wakati wa kujifungua vimepungua – Wizara ya Afya
Na ERIC MATARA IDADI ya akina mama wajawazito wanaofariki wakijifungua nchini imeshuka, huku zaidi ya asilimia 62 ya akina mama...