• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 3:04 PM

Akanusha shtaka la kutumia mabavu kunyang’anya mkazi wa Nairobi mkufu wa dhahabu

Na RICHARD MUNGUTI TAMAA ya kujipatia fedha kwa njia ya haraka ilisababisha mwanaume mwenye umri wa miaka 35 kukanyaga kizimba cha...

Mwalimu wa dini jela maisha baada ya mahakama kumpata na kosa la wizi wa mabavu

Na KALUME KAZUNGU MWALIMU wa dini ya Kiislamu amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya mahakama ya Lamu kumpata na kosa la wizi wa...

Mwanachuo auawa na wenzake akijaribu kuvunja ofisi

Na Steve Njuguna MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Laikipia Jumapili alipigwa hadi kufa na wanafunzi wenzake katika bewa kuu la chuo hicho...

Mshukiwa wa nne wa wizi wa mabavu afikishwa kizimbani

Na RICHARD MUNGUTI SIKU arobaini zilitimia pale mshukiwa  wa nne aliposhtakiwa Jumanne  kwa kumshambulia na kumnyang’anya kimabavu...