Tag: maji
- by adminleo
- May 9th, 2020
Watu wanne wasombwa na maji eneo la Ngoliba
Na LAWRENCE ONGARO BAADA ya wakazi wanne kusombwa na maji katika mto Athi, eneo la Ngoliba Thika Mashabiki, wakazi wanaiomba Kaunti ya...
- by adminleo
- April 27th, 2020
Mvua kubwa yasababisha hasara Ruiru
Na LAWRENCE ONGARO FAMILIA zaidi ya 200 katika vijiji vya Kimbo na Juja wameachwa na mahangaiko baada ya mvua kubwa kusababisha maji ya...
- by adminleo
- April 22nd, 2020
Lamu yaanza kufufua visima vya kale
NA KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu imeanzisha mpango wa kufufua visima vya kale, ikiwemo vile vya miaka 100 na zaidi ili...
- by adminleo
- March 17th, 2020
Thiwasco yashirikiana na kaunti kuweka vituo vya usafi Thika
Na LAWRENCE ONGARO WANANCHI mjini Thika wameanza kuzingatia hali ya usafi kwa kunawa mikono kila mara baada ya vituo vitano vya kunawa...
- by adminleo
- March 11th, 2020
Lawama kwa Lapsset uhaba wa maji safi na salama Lamu
Na KALUME KAZUNGU BODI ya Kusambaza Maji, Kaunti ya Lamu (Lawasco) imenyooshea kidole cha lawama ujenzi unaoendelea wa mradi wa Bandari...
- by adminleo
- February 28th, 2020
Wakazi wa Thika wapata maji kwa wingi
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Landless, Thika na maeneo ya karibu wamepata afueni baada ya kuletewa maji kwa wingi katika makazi...
- by adminleo
- February 23rd, 2020
Ukosefu wa maji washuhudiwa Thika
Na LAWRENCE ONGARO MAENEO mengi mjini Thika yanaendelea kukosa maji safi ya kunywa huku wakazi wakitaka kampuni ya Thiwasco Water...
- by adminleo
- February 21st, 2020
Wafanyakazi 28 wa kike wahitimu na kupokezwa vyeti vya uongozi sekta ya huduma ya maji
Na PAULINE ONGAJI WAFANYAKAZI 28 wa kike wanaohudumu katika sekta ya huduma ya maji na usafi walihitimu na kupokezwa vyeti vya uongozi...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Thiwasco yaimarisha huduma ya usambazaji maji Thika
Na LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya Maji ya Thiwasco Water Company Ltd imeweka mikakati ya kuboresha huduma kwa wateja. Mkurugenzi mkuu wa...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Kampuni ya kusambaza maji Mombasa yapinga madai ya mazingira duni
Na MISHI GONGO KAMPUNI ya Usambazaji wa maji ya Mombasa (Mowasco) imepinga madai yaliyoibuliwa na baadhi ya wafanyakazi wanaolalamikia...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Wakazi wa Mokowe kunufaika na mradi wa ujenzi wa vyoo
Na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wakazi 5,000 wa mji wa Mokowe, Kaunti ya Lamu watanufaika na mradi uliozinduliwa wa Sh17.2 milioni wa ujenzi...
- by adminleo
- February 15th, 2020
WANGARI: Kupanda miti ya kiasili kutasaidia kuhifadhi vyanzo vya maji
Na MARY WANGARI AKIZUNGUMZA majuzi katika sherehe za kuadhimisha Sikukuu ya Maeneo ya Maji Ulimwenguni, Waziri wa Mazingira, Bw Keriako...