Tag: mazingira na sayansi
- by adminleo
- February 18th, 2020
MAZINGIRA NA SAYANSI: Mafuriko husababisha msongo wa mawazo
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI mnamo Desemba ilitangaza kuwa imetenga Sh6.1 bilioni kwa ajili ya kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko...
- by adminleo
- January 28th, 2020
MAZINGIRA NA SAYANSI: Moshi wa mafuta ya dizeli unasababisha nimonia – Utafiti
Na LEONARD ONYANGO WAKENYA zaidi ya 15,000 walihusika katika ajali za barabarani mwaka 2019. Kati yao 3,400 walifariki huku wengine...
- by adminleo
- December 31st, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Magari na ndege zinazotumia umeme kuteka mwaka 2020
Na LEONARD ONYANGO IKIWA wewe hupendelea kusafiri, kuna uwezekano mkubwa kwamba huenda ukaabiri ndege au gari lisilotumia mafuta kabla...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Watoto kucheza na mchanga ni hatari kwa afya zao
Na LEONARD ONYANGO WATOTO wako wanachelewa kukua, hawafanyi vyema shuleni au wanapoteza fahamu bila sababu? Huenda ‘wamerogwa’ na...
- by adminleo
- November 26th, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Taa za mitaani ni hatari kwa wadudu, utafiti waonyesha
Na LEONARD ONYANGO HUKU serikali za Kaunti na Kitaifa zikiwa mbioni kuweka taa mitaani kuwezesha Wakenya kufanya biashara zao usiku na...
- by adminleo
- November 12th, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Mombasa hatarini kuzama baharini, wataalamu waonya
Na LEONARD ONYANGO JIJI la Mombasa huenda likazama baharini ndani ya kupindi cha miaka 30 ijayo, wanasayansi wameonya. Utafiti...
- by adminleo
- October 15th, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Vipodozi vyarembesha ila pia hatari kwa mazingira
Na LEONARD ONYANGO IKIWA ungali unadhani kwamba kujipodoa ni kwa akina dada tu, basi hujatembea mijini. Katika miaka ya hivi karibuni...
- by adminleo
- August 20th, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Vifaa vya kielektroniki vina sumu hatari
Na LEONARD ONYANGO WANARIADHA 11,090 kutoka nchi 206, ikiwemo Kenya, wanaendelea na maandalizi motomoto kwa ajili ya makala ya 2020 ya...
- by adminleo
- August 13th, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Ufugaji wa vipepeo una faida tele
Na MAGDALENE WANJA LICHA ya kushuhudiwa uharabifu mkubwa wa misitu katika sehemu nyingi nchini, jamii zinazoishi katika eneo la...
- by adminleo
- July 30th, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Je, washangaa kwa nini mende wameganda kwako?
Na LEONARD ONYANGO UNAPOPITA mitaani hasa jijini Nairobi, hutakosa kusikia wachuuzi wakiita wateja kununua dawa ya mende; “Dawa ya...