Tag: mifugo
- by T L
- November 15th, 2021
KMC yabadili sheria ya kununua mifugo katika kaunti kame
Na STANLEY NGOTHO USIMAMIZI wa Kiwanda cha Nyama nchini (KMC) umebadilisha sheria ambayo imekuwa ikitumiwa kuwanunua ng’ombe kutoka...
- by T L
- November 9th, 2021
Serikali yatoa Sh450 milioni zaidi ya kuiokoa mifugo
Na WINNIE ONYANDO MPANGO wa serikali wa kuiokoa mifugo katika kaunti zilizoathiriwa na janga la ukame utaendelea, baada ya kutoa Sh450...
Vilio serikali inunue mifugo iliyo hatarini
GEOFFREY ONDIEKI na KNA WAFUGAJI katika maeneo mbalimbali nchini wamelilia serikali kununua mifugo yao ili kuepuka hasara.Katika Kaunti...
Wafugaji watishia kususia misaada wasipopewa pia lishe ya mifugo yao
Na KALUME KAZUNGU JAMII za wafugaji katika maeneo ya Pwani zimeitaka serikali iharakishe kutuma lishe ya msaada kwa mifugo yao, huku...
Maafisa wapata ng’ombe kadhaa walioibwa kutoka Nakuru wakasafirishwa hadi Kakamega
Na RICHARD MAOSI MAAFISA kutoka Kituo cha Polisi cha Kaptembwo, wamefanikiwa kupata sehemu ya mifugo 26 ambayo ilikuwa imeibiwa kutoka...
Wezi wa mifugo sasa wageukia teknolojia kuiba, kuhepa polisi
BARNABAS BII Na FLORA KOECH Majangili katika maeneo yanayoathiriwa na visa vya wizi wa mifugo Kaskazini mwa Bonde la Ufa, wamegeukia...
Wizi wa mifugo wazidi kijijini Ngoingwa
Na LAWRENCE ONGARO WIZI wa mifugo umezidi katika kijiji cha Ngoingwa mjini Thika, huku wakazi wa huko wakitaka serikali kuingilia...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Mifugo Samburu wachanjwa
Na GEOFFREY ONDIEKI [email protected] Serikali imeanzisha kampeni ya kutoa chanjo ya ugonjwa wa miguu na mdomo katika kaunti ya...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Vijana 100 walioasi wizi wa mifugo watoa msaada wa mbuzi
Na Oscar Kakai ZAIDI ya vijana 100 walioasi wizi wa mifugo na uvamizi kutoka jamii ya Pokot wanaoishi Kaunti ya Baringo, jana...
- by adminleo
- December 5th, 2019
AKILIMALI: Umuhimu wa kujitengenezea chakula cha mifugo
Na SAMMY WAWERU UWEKEZAJI aliofanya Mhandisi Joseph O. Makolwal katika ufugaji wa ng’ombe wa maziwa, anaokadiria kuwa unaweza kufikia...
- by adminleo
- November 22nd, 2019
Kaunti yafungua soko la mifugo la Nagele
Na KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu imefungua rasmi soko la mifugo lililojengwa eneo la Nagele, tarafa ya Witu kwa kiasi cha...
- by adminleo
- November 2nd, 2019
AKILIMALI: Mbinu mpya ya kuhifadhi lishe inayodumu kwa muda mrefu
Na PETER CHANGTOEK KUPATIKANA kwa foda (fodder), na jinsi ya kuzihifadhi, ni miongoni mwa changamoto ambazo wakulima wengi huzipitia...