Tag: mombasa
KAFYU: Pigo kwa wenye vilabu vya densi na makahaba
Na MISHI GONGO WAMILIKI wa vilabu vya densi na makahaba wamepata pigo baada ya Rais Uhuru Kenyatta kuongeza marufuku ya kufungwa kwa...
- by adminleo
- August 1st, 2020
Wito serikali ibuni sera ya kuruhusu ndege kupaa na kutua uwanja wa Moi bila vikwazo
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI katika sekta ya utalii wametoa wito kwa serikali ikubali sera inayoruhusu ndege kutua na kupaa katika uwanja...
- by adminleo
- June 25th, 2020
‘Kusomea nyumbani si rahisi’
Na DIANA MUTHEU WANAFUNZI wengi wa vyuo vikuu wamelalamika kuwa kusomea nyumbani kuna changamoto nyingi sana. Akizungumza na Taifa...
- by adminleo
- June 11th, 2020
Visiwa vya Mombasa na Manda huenda vikazama – Wanasayansi
Na WINNIE ATIENO WANASAYANSI wameonya huenda visiwa vya Mombasa na Manda vikazama kufuatia mabadiliko ya tabianchi. Kulingana na...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Kaunti kusambazia wakazi wa vitongojini maji
Na WINNIE ATIENO SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imeanza kuweka mikakati kusambaza maji vitongojini ili kuimarisha afya za wakazi wa...
- by adminleo
- May 31st, 2020
Corona yachangia uhaba wa damu katika hifadhi Mombasa
Na MISHI GONGO KUNA upungufu mkubwa wa damu katika kituo cha hifadhi ya bidhaa hiyo mjini Mombasa hali hii ikishuhudiwa tangu kuzuka kwa...
- by adminleo
- May 30th, 2020
Wizara yafuatilia shughuli za ujenzi wa uwanja wa kisasa Mombasa
Na ABDULRAHMAN SHERIFF WAPENZI wa mchezo wa mpira wa miguu Mombasa na sehemu nyinginezo za mwambao wa Pwani wana matumaini uwanja wao wa...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Seneta aanza kuhamasisha wakazi Mombasa kuhusu Covid-19
Na WINNIE ATIENO SENETA wa Kaunti ya Mombasa Bw Mohamed Faki ameanzisha kampeni madhubuti ya kuhamasisha umma kujua jinsi ya kuepuka...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Serikali ya kaunti ya Mombasa yabuni mkakati wa kuipiga jeki sekta ya utalii
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI wa sekta ya utalii wamepata afueni baada ya serikali ya Mombasa kutangaza mpango mpya wa kuwanusuru dhidi ya...
- by adminleo
- May 20th, 2020
Nairobi yaongoza maambukizi, Mombasa kwa vifo
Na JUMA NAMLOLA KAUNTI ya Nairobi inaongoza kwa idadi ya maambukizi ya virusi vya corona huku Mombasa ikiongoza kwa watu walioaga dunia...
- by adminleo
- May 7th, 2020
Baadhi ya wakazi washutumu hatua ya serikali kuufunga Mji wa Kale
Na MISHI GONGO WAKAZI mjini Mombasa wameshutumu serikali kwa kufunga Mji wa Kale, wakiitaja hatua hiyo kuwa kandamizi na kwamba...
- by adminleo
- May 2nd, 2020
Gavana wa Mombasa atishia kuweka ‘lockdown’ Mji wa Kale
MISHI GONGO na WINNIE ATIENO HUKU maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 yakiendelea kuongezeka katika Mji wa Kale, Kaunti ya Mombasa, gavana...