Tag: mwanamume kamili
Ripoti: Wanaume walipigwa zaidi na wanawake kipindi cha corona
Na WANDERI KAMAU WANAUME wengi walipigwa ama kutukanwa na wapenzi wao walipokuwa wakikaa nyumbani kutokana na kanuni za kukabili virusi...
MWANAMUME KAMILI: Tatizo ni baadhi yetu huwa tunaenda na mawimbi tu!
Na DKT CHARLES OBENE KILA mtu yuko mbioni kutafuta kile ambacho mwenyewe hana! Si pesa, si akili, si wanawake, si wanaume, si...
- by adminleo
- July 4th, 2020
MWANAMUME KAMILI: Tusijitie hamnazo suala la uzazi
Na DKT CHARLES OBENE DUNIA haina shukrani! Ole nyinyi mnaojituma kufa kupona wenzenu kuwapa nafsi na moyo vilevile! Sikateni tamaa wala...
- by adminleo
- June 27th, 2020
MWANAMUME KAMILI: Uongo umeua mapenzi, epuka!
Na DKT CHARLES OBENE KUNA baadhi ya wanaume kwa wanawake wa leo wasiojua adabu wala heshima kwa mwenza. Yaani unawapa kila kitu! Si...
- by adminleo
- May 29th, 2020
MWANAMUME KAMILI: Corona katuzidishia dhiki ya majanga ya wanaume!
Na DKT CHARLES OBENE AFADHALI turejelee hali ya kawaida wanaume kuondoka majogoo na kurudi nyumbani usiku wa manane! Mwanamume mmoja...
- by adminleo
- May 22nd, 2020
MWANAMUME KAMILI: Kichwa kisicho akili hata kikinolewa ni kazi bure tu!
Na DKT CHARLES OBENE KILA masika na mbu wake! Ndivyo walivyosema wahenga. Haya masika ya corona yamekuja na zilizala ya...
- by adminleo
- March 28th, 2020
MWANAMUME KAMILI: Mdharau mwiba, mguu huota tende, corona haitaki mzaha
Na DKT CHARLES OBENE MDHARAU mwiba mguu huota tende. Hili janga la virusi vya corona si mchezo. Waja zaidi ya kumi elfu wamekwisha...
- by adminleo
- March 7th, 2020
MWANAMUME KAMILI: Mwanadada usiye na dili naye, afanya nini kwako?
Na DKT CHARLES OBENE SIMBA, kama mwanamume kamili, haondoki nyikani! Nyie mnaokwepa baada ya nakshi za mahaba ni wale wale tu...
- by adminleo
- February 25th, 2020
AFYA: Hofu ya wanaume ‘mlingoti’ kukosa kusimama wima chumbani
NA BENSON MATHEKA Idadi ya watu wanaoendelea kupoteza maelfu ya pesa wakitafuta suluhu ya kupungukiwa na nguvu za kiume ikiwa ni pamoja...
- by adminleo
- February 15th, 2020
MWANAMUME KAMILI: Ole wenu mnaotegemea nguvu za mikwanja kuteka vimwana!
Na DKT CHARLES OBENE NAWAHONGERA tena nawapongeza vimwana wa leo waliokwisha erevuka na kutambua kwamba mapenzi sio pesa! Mapenzi ni...
- by adminleo
- February 1st, 2020
MWANAMUME KAMILI: Mume wa leo mwingi wa kero, hajui kufurahia alichojaliwa
Na DKT CHARLES OBENE WAJA wenzangu makinikeni maishani maana ujaliwapo punda, huna budi kumkama! Kweli maisha sanaa! Waliojaaliwa...
- by adminleo
- January 25th, 2020
MWANAMUME KAMILI: Athari ya domo kaya kuwepo kizazi kisichojua uwajibikaji
Na DKT CHARLES OBENE TANGU udogoni, nilijua fika kwamba jamii ya Wakenya kwa jumla ni watu wanaopenda mzahamzaha mno. Tumekuza sifa...