• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

TAHARIRI: Serikali iweke sera za kudhibiti kupandisha nauli

KITENGO  cha UHARIRI RIPOTI ya utafiti wa shirika la Infotrak inaonyesha zaidi ya nusu ya Wakenya watasherehekea Sikukuu ya Krismasi...

Serikali yaonya wanaopandisha nauli kiholela

NA RICHARD MAOSI MSHIRIKISHI wa Bonde la Ufa George Natembeya ametoa onyo kali kwa sekta ya matatu , dhidi ya kuongeza nauli kiholela,...

Nauli yapanda Wakenya wakirejea mijini

NICHOLAS KOMU NA SAMMY KIMATU WAKENYA waliosafiri kwa sherehe za Krismasi wameanza kurejea mijini huku matatu zikiongeza nauli.Katika...

Misongamano yashuhudiwa katika vituo vya uchukuzi wa umma nauli ikipanda

Na SAMMY WAWERU WAHUDUMU wa matatu katika vituo mbalimbali Jumatatu waliongeza nauli karibu maradufu kufuatia idadi kubwa ya watu...

Nauli yapanda shule zikifunguliwa

Na SAMMY WAWERU WAZAZI wiki hii hawana budi ila kutumia fedha zaidi kugharimia nauli kipindi hiki ambapo watoto wao wanarejea shuleni...

Nauli maradufu zawatatiza wanafunzi wakirudi shuleni

Na WAANDISHI WETU WAZAZI Alhamisi walitatizika kuwapeleka watoto wao shuleni licha ya walimu kufutilia mbali mgomo wao walivyoagizwa na...

Ushuru zaidi waja – Ruto

Na WAANDISHI WETU SIKU mbili tu baada ya ushuru wa asilimia 16 wa VAT kwa mafuta kuanza kutekelezwa, Naibu Rais William Ruto jana...

COTU pia yaishtaki serikali kuhusu ushuru wa mafuta

ANITA CHEPKOECH Na PETER MBURU MUUNGANO wa Vyama vya Wafanyakazi (Cotu) umeishtaki serikali kuhusiana na kulipisha ushuru wa asilimia 16...

BEI GHALI: Omtatah afika mahakamani kuokoa Wakenya

Na RICHARD MUNGUTI MWANAHARAKATI Okiya Omtatah Jumatatu aliishtaki Serikali kwa kuongeza ushuru wa thamani ya ziada (VAT) kwa asilimia 16...

TAHARIRI: Ushuru utawaumiza wananchi wanyonge

NA MHARIRI KUANZIA Jumapili, Wakenya wameanza kukabiliwa na ushuru mpya wa asilimia 16 unaotozwa mafuta. Ushuru huo unaambatana na...

Wakenya wabebe mzigo wa mafuta ghali bila kulalamika – Moses Kuria

Na PETER MBURU Mbunge mbishi wa Gatundu Kusini amewaghadhabisha Wakenya, baada ya kusema kuwa hawezi kuwatetea kutokana na kupandishwa kwa...

KERO LA NAULI: Wakenya waanza kuumia

Na PETER MBURU TAYARI Wakenya wameanza kuhisi joto la kupandishwa kwa ushuru wa asilimia 16 ya VAT kwenye bei ya mafuta, baada ya wahudumu...