Tag: nauli
- by T L
- December 23rd, 2021
TAHARIRI: Serikali iweke sera za kudhibiti kupandisha nauli
KITENGO cha UHARIRI RIPOTI ya utafiti wa shirika la Infotrak inaonyesha zaidi ya nusu ya Wakenya watasherehekea Sikukuu ya Krismasi...
Serikali yaonya wanaopandisha nauli kiholela
NA RICHARD MAOSI MSHIRIKISHI wa Bonde la Ufa George Natembeya ametoa onyo kali kwa sekta ya matatu , dhidi ya kuongeza nauli kiholela,...
Nauli yapanda Wakenya wakirejea mijini
NICHOLAS KOMU NA SAMMY KIMATU WAKENYA waliosafiri kwa sherehe za Krismasi wameanza kurejea mijini huku matatu zikiongeza nauli.Katika...
- by adminleo
- January 7th, 2020
Misongamano yashuhudiwa katika vituo vya uchukuzi wa umma nauli ikipanda
Na SAMMY WAWERU WAHUDUMU wa matatu katika vituo mbalimbali Jumatatu waliongeza nauli karibu maradufu kufuatia idadi kubwa ya watu...
- by adminleo
- September 4th, 2019
Nauli yapanda shule zikifunguliwa
Na SAMMY WAWERU WAZAZI wiki hii hawana budi ila kutumia fedha zaidi kugharimia nauli kipindi hiki ambapo watoto wao wanarejea shuleni...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
Nauli maradufu zawatatiza wanafunzi wakirudi shuleni
Na WAANDISHI WETU WAZAZI Alhamisi walitatizika kuwapeleka watoto wao shuleni licha ya walimu kufutilia mbali mgomo wao walivyoagizwa na...
- by adminleo
- September 4th, 2018
Ushuru zaidi waja – Ruto
Na WAANDISHI WETU SIKU mbili tu baada ya ushuru wa asilimia 16 wa VAT kwa mafuta kuanza kutekelezwa, Naibu Rais William Ruto jana...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
COTU pia yaishtaki serikali kuhusu ushuru wa mafuta
ANITA CHEPKOECH Na PETER MBURU MUUNGANO wa Vyama vya Wafanyakazi (Cotu) umeishtaki serikali kuhusiana na kulipisha ushuru wa asilimia 16...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
BEI GHALI: Omtatah afika mahakamani kuokoa Wakenya
Na RICHARD MUNGUTI MWANAHARAKATI Okiya Omtatah Jumatatu aliishtaki Serikali kwa kuongeza ushuru wa thamani ya ziada (VAT) kwa asilimia 16...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
TAHARIRI: Ushuru utawaumiza wananchi wanyonge
NA MHARIRI KUANZIA Jumapili, Wakenya wameanza kukabiliwa na ushuru mpya wa asilimia 16 unaotozwa mafuta. Ushuru huo unaambatana na...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
Wakenya wabebe mzigo wa mafuta ghali bila kulalamika – Moses Kuria
Na PETER MBURU Mbunge mbishi wa Gatundu Kusini amewaghadhabisha Wakenya, baada ya kusema kuwa hawezi kuwatetea kutokana na kupandishwa kwa...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
KERO LA NAULI: Wakenya waanza kuumia
Na PETER MBURU TAYARI Wakenya wameanza kuhisi joto la kupandishwa kwa ushuru wa asilimia 16 ya VAT kwenye bei ya mafuta, baada ya wahudumu...