Tag: ndege
- by adminleo
- November 12th, 2019
Ndege kadha zazimwa na KCAA
Na CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Safari za Ndege Nchini (KCAA) imeamuru ndege saba za kampuni ya Silverstone Air zisihudumu kwa muda wa...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Ndege waharibifu walivyoangamizwa Mwea
Na George Munene MAMILIONI ya ndege aina ya quelea ambao wamekuwa wakitatiza wakulima wa mpunga katika shamba kubwa la Mwea, Kaunti...
- by adminleo
- October 28th, 2019
Gurudumu la ndege ya Silverstone Air ladondoka ikiwa imepaa
Na SAMMY LUTTA KUMEKUWA na hofu Jumatatu baada ya gurudumu la ndege ya Silverstone Air kudondoka ikiwa hewani ikitoka Lodwar ambapo...
- by adminleo
- October 14th, 2019
Mabaki ya Wakenya walioangamia katika ajali ya ndege Ethiopia yaletwa
Na JAMES KAHONGEH, ERIC MATARA na PHYLIS MUSASIA MABAKI ya Wakenya 28 kati ya 32 walioangamia Machi 10, 2019 katika ajali ya ndege ya...
- by adminleo
- October 11th, 2019
Ndege yapoteza mwelekeo ikitaka kupaa uwanjani Wilson
Na CHARLES WASONGA NDEGE ya Silverstone Air imepoteza mwelekeo ikitaka kupaa kutoka katika uwanja wa ndege wa Wilson jijini...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Kicheko bungeni abiria wanaochafua hewa kwa ndege wakijadiliwa
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Rangwe Lilian Gogo (pichani) aliibua kicheko bungeni Jumatano alasiri alipopendekeza kuwa abiria wa ndege...
- by adminleo
- June 11th, 2019
UFUGAJI: Ndege wa umaridadi wamemuinua kimapato
Na SAMMY WAWERU LENGO la kufuga ndege wa umaridadi lilikuwa kurembesha boma lake, na hatima yake itaishia kuwa kitega uchumi. Bi...
- by adminleo
- April 4th, 2019
AKILIMALI: Ufugaji kanga unamdumisha kimaisha bila bughudha yoyote
Na CHARLES ONGADI SIKU njema huonekana asubuhi , ndivyo hali inavyoashiria katika mtaa maarufu wa Makande Railways karibu sana na makazi...
- by adminleo
- March 27th, 2019
Familia za waliokufa Ethiopia zahangaishwa na mawakili
Na PHYLIS MUSASIA MAWAKILI wakiwemo wa kutoka ng’ambo, wameanza kuziandamana familia za waliopoteza jamaa zao kwenye mkasa wa ndege ya...
- by adminleo
- March 18th, 2019
MKASA WA ETHIOPIA: Dhiki ya kuzika mchanga
NA MASHIRIKA SHIRIKA la ndege la Ethiopia limewapatia jamaa wa familia za watu 157 waliokufa kwenye ajali wiki iliyopita, mifuko yenye...
- by adminleo
- March 14th, 2019
NGILA: Teknolojia inayoua wanadamu yafaa kukomeshwa
NA FAUSTINE NGILA KWA mara ya pili chini ya miezi sita, ndege aina ya Boeing 737 MAX 8 ilianguka dakika chache baada ya kupaa angani na...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Ndege mbili aina ya Boeing 737 MAX 8 zapiga abautani angani
CHARLES WASONGA na MASHIRIKA NDEGE mbili aina ya Boeing 737 MAX 8 za Shirika la Ndege la Uturuki ambazo zilikuwa zikisafiri kuelekea...