• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 5:55 AM

JAMVI: Mbio za Ngilu kutuliza zogo, uasi katika ODM

Na BENSON MATHEKA HATUA ya Gavana Charity Ngilu wa Kitui ya kukutanisha Kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga na washirika wake James...

ODM yawaagiza wabunge wake waipitishe BBI

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimewataka wabunge na maseneta wake kupitisha Mswada wa Marekebisho ya Katiba kupitia mpango wa...

ODM yakana Oparanya aelekea kwa Ruto

Na BENSON MATHEKA CHAMA cha ODM, kimekanusha ripoti kwamba naibu kiongozi wake, Bw Wycliffe Ambetsa Oparanya amekisaliti na anapanga...

JAMVI: ODM inacheza tu abrakadabra za danganyatoto, ukweli wajulikana

Na CHARLES WASONGA SASA imedhihirika wazi kwamba kiongozi wa ODM Raila Odinga amejipata katika njiapanda kuhusu iwapo awanie urais 2022...

Wandayi akana muungano kati ya Raila na Ruto

Na RUSHDIE OUDIA CHAMA cha ODM, chake waziri mkuu wa zamani Raila Odinga, hakina mipango ya kubuni muungano na chama cha United...

ODM WAONYA UHURU

Na CHARLES WASONGA BAADHI ya washirika wa kisiasa wa karibu wa kinara wa ODM Raila Odinga wamepuuzilia mbali madai kwamba kuna njama ya...

Dkt Ruto adokeza uwezekano wa kuungana na Raila katika uwaniaji 2022

Na MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Dkt William Ruto ametangaza Alhamisi kuwa kuna uwezekano wa yeye kuungana kisiasa na kiongozi wa ODM Bw...

ODM yadai viongozi 4 wamedandia handisheki kujifaidi

Na BENSON MATHEKA CHAMA cha ODM kinalaumu viongozi wa vyama vinne vya kisiasa wanaounga mageuzi ya katiba kwa kudandia handisheki ya...

Joho alipa Sh1m kuwania tiketi ya urais ya ODM kabla ya Raila

Na JUSTUS OCHIENG Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho ndiye mwanasiasa pekee ambaye kufikia sasa amewasilisha ombi la kusaka tiketi ya ODM...

Uamuzi kortini si tishio kwa ‘Reggae’ – Raila

Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amepuuzilia mbali dhana kuwa uamuzi wa mahakama uliotolewa majuzi kuhusu...

Joho na Kingi waongoza mipango ya kuhama ODM

Na MOHAMED AHMED MIPANGO ya viongozi wa kanda ya Pwani kujisimamia kisiasa inazidi kupamba moto huku ripoti zikionyesha kuwa kumekuwa na...

ODM pia ilaumiwe kwa uzembe wa serikali – Ruto

Wanderi Kamau na DPPS NAIBU Rais William Ruto  ameambia chama cha ODM kwamba, hakiwezi kamwe kujitenga na uzembe wa serikali ya...