• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Wapwani wataka kummeza Yatani kuhusu Bandari

Na MOHAMED AHMED AGIZO la kuanzisha upya shughuli ya kumtafuta mkurugenzi mkuu wa bandari ya Mombasa limezua mjadala mkali miongoni mwa...

Mpango wa kusafisha Pwani wazinduliwa

Na WANDERI KAMAU SHIRIKA la Petco Kenya na Hazina ya Kuhifadhi Mazingira (WWF) zimetia saini mkataba wa Sh6 milioni, kuimarisha juhudi...

Raila awaonya Wapwani dhidi ya kuunda chama

LUCY MKANYIKA na MAUREEN ONGALA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amepinga msukumo wa baadhi ya viongozi wa Pwani kuunda chama...

Raila atua Pwani kufunza wakazi kusakata Reggae

Na LUCY MKANYIKA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Raila Odinga leo amepangiwa kuanza rasmi ziara yake eneo la Pwani kupigia debe mswada wa...

Pwani yasisitiza itakaa ODM hadi mwisho, haitaunda chama

Na Mohamed Ahmed WABUNGE kutoka Pwani wametetea msimamo wao kukwamilia Chama cha ODM hata wakati ambapo wito umezidi kutolewa kuhusu...

Kingi aungama mambo si shwari kwa ODM Pwani

Na MOHAMED AHMED KAUNTI ya Kilifi ambayo kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2017 ilichagua viongozi wote kwa chama cha ODM, imeanza kuyumba na...

Joho ataka Raila aunge Mpwani kuwania urais

STEPHEN ODUOR na MOHAMED AHMED GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho ameeleza matumaini kwamba Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, ataunga mkono...

Corona yasimamisha ‘Reggae’ Pwani

Na MOHAMED AHMED KIVUMBI cha kisiasa kilichoanza kushika kasi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Msambweni kimeanza kufifia kufuatia...

Kibarua cha Joho na Kingi kuuza BBI eneo la Pwani

?Na MOHAMED AHMED NGOMA ya ripoti ya Jopokazi la Mpango wa Maridhiano (BBI) ikiendelea kurindima, ni dhahiri kuwa viongozi wengi...

Corona: Wanasiasa lawamani Pwani

Na DIANA MUTHEU BAADHI ya wakazi katika Kaunti ya Mombasa wamewalaumu viongozi wa kisiasa kwa kuchangia katika kuongezeka kwa maambukizi...

Pendekezo machifu na wazee wa mitaa wafundishwe jinsi ya kutoa ushauri nasaha

Na MISHI GONGO VIONGOZI katika chama cha Maendeleo ya Wanawake katika Kaunti ya Mombasa wameomba machifu wote wapewe mafunzo ya kupeana...

Pwani kuenda kortini

CHARLES WASONGA na CHARLES LWANGA VIONGOZI wa Pwani wametisha kuenda kortini kuzuia utekelezwaji wa mfumo mpya wa ugavi wa fedha baini...