Tag: raga
KRU kuandaa mchujo kwa ajili ya vikosi vya raga kupanda na kushuka ngazi katika ligi za chini
Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Raga la Kenya (KRU) limethibitisha kwamba kutaandaliwa mchujo wa ligi za madaraja ya chini ya Championship...
Vikosi vya Kenya Cup vyafutilia mbali mpango wa kukamilisha msimu wa 2019-20
Na CHRIS ADUNGO KLABU za raga ya humu nchini zimefutilia mbali mpango wa kukamilishwa kwa kampeni za msimu wa 2019-20 katika Ligi Kuu ya...
- by adminleo
- July 30th, 2020
Mikoba ya Shujaa yavutia makocha 11 wa kigeni na watatu wa humu nchini
Na CHRIS ADUNGO JUMLA ya makocha 14 kutoka ughaibuni na humu nchini wamewasilisha maombi ya kupokezwa fursa ya kudhibiti mikoba ya timu ya...
- by adminleo
- June 30th, 2020
AFUENI: Wachezaji wawili wa raga kusimama kizimbani tena
Na RICHARD MUNGUTI WACHEZAJI wawili maarufu wa mchezo wa raga waliohukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la ubakaji Jumanne walipata...
- by adminleo
- June 27th, 2020
Msiingize siasa katika timu zenu za taifa za raga, kocha Ben Ryan ashauri Kenya
Na GEOFFREY ANENE WANARAGA wa Kenya walinufaika na mafunzo kutoka kwa kocha mtajika Benjamin Ryan kuhusu mbinu inazostahili kutumia...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Hofu ya Shujaa baada ya raga ya Afrika kufutiliwa mbali
Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa timu ya taifa ya wanaraga saba kila upande, Kevin Wambua, amesema kwamba kufutiliwa mbali kwa msimu wa Raga ya...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Simbas kutumia kipute cha raga ya Afrika kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia
Na CHRIS ADUNGO KIPUTE cha kuwania Raga ya Kombe la Afrika mnamo 2022 sasa kitatumiwa na Kenya Simbas kufuzu kwa fainali za Kombe la...
- by adminleo
- June 7th, 2020
Wanariadha waliosafiri India warudi humu nchini
NA DAVID MACHARIA Wachezaji wa riadha wanne waliokuwa wamekwama India kwa sababu ya virusi vya corona wameeleza jinsi waliteseka huku...
- by adminleo
- June 6th, 2020
Pigo kwa Simbas msimu wa raga ukifutwa
Na CHRIS ADUNGO KIPUTE cha raga cha Barthes Cup kilichokuwa kimeratibiwa upya kuandaliwa humu nchini mnamo Septemba 2020 sasa...
- by adminleo
- June 2nd, 2020
Strathmore Leos kusajili wachezaji watano
Na CHRIS ADUNGO VIONGOZI wa jedwali la Ligi ya Daraja la Kwanza la Raga ya Kenya (Championship), Strathmore Leos wamefichua azma ya...
- by adminleo
- May 31st, 2020
KRU yaunda kamati ya kuamua hatima ya msimu huu wa raga ya Kenya
Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Raga la Kenya (KRU) limeunda kamati ya watu sita ambao wametwikwa jukumu la kutathmini mapendekezo ya...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Staa wa Shujaa Allan Makaka afariki
NA AYUMBA AYODI MWANARAGA aliyekuwa na kasi ya kupindukia Allan Makaka wa timu za raga za taifa ya Shujaaa na Simba ameaga...