Tag: raga
- by adminleo
- May 23rd, 2020
TANZIA: Nyota wa zamani wa timu ya taifa raga Allan Makaka afariki
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeamkia habari za kuhuzunisha Jumamosi baada ya kumpoteza nyota wake wa zamani wa timu ya taifa ya raga ya...
- by adminleo
- May 19th, 2020
Mwanaraga wa zamani ateuliwa kocha wa Kenya Rugby League
Na CHRIS ADUNGO MWANARAGA nguli Edward Rombo ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Kenya Rugby League. Rombo ataongoza programu...
- by adminleo
- May 7th, 2020
COVID-19: Kombe la Enterprise kutupwa kando kupisha raga ya Kenya Cup
Na CHRIS ADUNGO KIPUTE cha Enterprise Cup kitafutiliwa mbali katika kalenda ya raga ya humu nchini msimu huu ili kuwezesha vikosi...
- by adminleo
- May 5th, 2020
Simbas watoa mwongozo mpya wa kuboresha raga nchini Kenya
Na CHRIS ADUNGO BENCHI ya kiufundi ya kikosi cha raga ya wachezaji 15 kila upande, Simbas, imebuni mwongozo mpya wa ukufunzi na...
- by adminleo
- April 19th, 2020
Mikataba ya wanaraga nchini yafutwa
Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Raga la Kenya (KRU) limesimamisha kandarasi zote za wachezaji wa timu ya taifa ya wanaraga saba kila upande,...
- by adminleo
- March 27th, 2020
‘Shujaa na Lionesses pamoja na KRU hazitafaidika na hatua ya Rais Kenyatta kupunguza ushuru’
Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Raga Kenya (KRU) limesema limefurahishwa serikali kuondoa ushuru unaotozwa wananchi wanaokula mshahara...
- by adminleo
- March 13th, 2020
KRU yasimamisha msimu 2019-2020 kwa sababu ya COVID-19
Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Raga Kenya (KRU) limesimamisha mashindano yote ya msimu 2019-2020 ikiwemo Ligi Kuu baada ya Wizara ya...
- by adminleo
- March 2nd, 2020
Shujaa yaridhika kuzoa alama tatu Los Angeles Sevens
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya wanaume ya Kenya, Shujaa, iliambulia alama tatu katika duru ya...
- by adminleo
- February 29th, 2020
Kenya Shujaa yajikwaa 31-5 dhidi ya Afrika Kusini
Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa imeanza duru ya tano ya Raga ya Dunia kwa kujikwaa mjini Los Angeles baada ya kuaibishwa 31-5 na miamba...
- by adminleo
- February 22nd, 2020
Kabras Sugar watinga nusu-fainali Kenya Cup huku Bulls na Kisumu zikishushwa ngazi
Na GEOFFREY ANENE NI rasmi kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya raga nchini (Kenya Cup) mwaka 2016 Kabras Sugar wamejikatia tiketi ya kushiriki...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Mwamba, Blak Blad na Quins waimarika Kenya Cup Kabras wakisalia kileleni
Na GEOFFREY ANENE MABADILIKO matano yameshuhudiwa kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya raga nchini (Kenya Cup) baada ya mechi za raundi ya 14...
- by adminleo
- January 25th, 2020
Homeboyz yaendelea kuonyesha ni mgombea halisi wa taji
Na GEOFFREY ANENE BAADA ya kusikitisha kwenye Ligi Kuu ya raga nchini (Kenya Cup) kwa kumaliza msimu uliopita katika nafasi ya tisa,...